FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,170
Mzee Mwanakijii,
Mimi hapa, tena nna maktaba yangu nyumbani na kwenye kompyuta zangu, nna maktaba zilizosheheni vitabu, picha na vijarida vya kila aina. Na nnazitembelea kila siku kutwa kutwa X 10 +.
Au wewe sio kiongozi? na kwanini sio kiongozi?
Mimi hapa, tena nna maktaba yangu nyumbani na kwenye kompyuta zangu, nna maktaba zilizosheheni vitabu, picha na vijarida vya kila aina. Na nnazitembelea kila siku kutwa kutwa X 10 +.
Au wewe sio kiongozi? na kwanini sio kiongozi?