mwanza_kwetu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 693
- 181
ni menoless sasa nafasi aliyokuwa anaiabuse hana tenaZitto hawezi kufukuzwa Chadema, na siku 14 zimeshapita tangu apokee barua rasmi tarehe 01.12.2013
ni menoless sasa nafasi aliyokuwa anaiabuse hana tenaZitto hawezi kufukuzwa Chadema, na siku 14 zimeshapita tangu apokee barua rasmi tarehe 01.12.2013
Thibitisha kwa hoja hayo mawazo mfu.
Upepo wa kisiasa chadema si shwari baada ya maazimio yaliyofikiwa mwezi uliopita
na kamati kuu ya chama hicho ya kuamua kuwavua nafasi zote za uongozi zitto kabwe, na wenzake samson mwigamba pamoja na dr.kitila mkumbo kwa tuhuma za kukihujumu chama kwa kuandaa waraka wa siri unaohimiza kufanyika kwa mageuzi ktk uongozi wa juu chadema na kupewa siku 14 kujieleza ni kwani wazivuliwe kabisa uanachama, baada ya maamuzi hayo ndipo katibu mkuu wa chadema dr.wilbroad slaa kuanza kufanya ziara mikoa ya kigoma,mwanza,shinyanga na tabora kwa kile kinachojulikana kama ziara ya kuimarisha chama, lakini kinachonekana ni mbinu ya dr.slaa na mbowe kupima upepo wa mwanasiasa huyo kijana kama nguvu yake ktk kanda hiyo yanaweza kuathiri maamuzi ya kamati kuu kwani lengo la slaa na mbowe ni kumtimua kabisa zitto, lakini kutokana na matokeo ya ziara hyo inaonekana wazi kuwa hakuna wa kuweza kumfukuza zitto chadema, hii ni kwa mujibu wa taarifa niliyoipata kutoka kwa mmoja wa viongozi waandamizi kutoka makao makuu ya chadema DSM.
Mura mbona unatukana? lete hoja kuthibisha ujinga wangu.Ujinga ni Kipaji kama chako
Eti anajiita Wisest man!..
Dah,kutumiwa kubaya sana.
Upepo wa kisiasa chadema si shwari baada ya maazimio yaliyofikiwa mwezi uliopita
na kamati kuu ya chama hicho ya kuamua kuwavua nafasi zote za uongozi zitto kabwe, na wenzake samson mwigamba pamoja na dr.kitila mkumbo kwa tuhuma za kukihujumu chama kwa kuandaa waraka wa siri unaohimiza kufanyika kwa mageuzi ktk uongozi wa juu chadema na kupewa siku 14 kujieleza ni kwani wazivuliwe kabisa uanachama, baada ya maamuzi hayo ndipo katibu mkuu wa chadema dr.wilbroad slaa kuanza kufanya ziara mikoa ya kigoma,mwanza,shinyanga na tabora kwa kile kinachojulikana kama ziara ya kuimarisha chama, lakini kinachonekana ni mbinu ya dr.slaa na mbowe kupima upepo wa mwanasiasa huyo kijana kama nguvu yake ktk kanda hiyo yanaweza kuathiri maamuzi ya kamati kuu kwani lengo la slaa na mbowe ni kumtimua kabisa zitto, lakini kutokana na matokeo ya ziara hyo inaonekana wazi kuwa hakuna wa kuweza kumfukuza zitto chadema, hii ni kwa mujibu wa taarifa niliyoipata kutoka kwa mmoja wa viongozi waandamizi kutoka makao makuu ya chadema DSM.
Huna jipya kachukue buk7 yako upate mkate wako! hivi unaijua CDM au unaiskia? CDM tulishawasahau siku nyingi hao masnich!
Rest in peace chadema.
Mkiishiwa hoja ndio mnaanza kutumia hnja ya buku 7, mbona hamsemi wa ufipa wanapewa buku ngapi? Harafu nani kakwambia kuwa mimi ni wa buku 7? au umekunywa gongo anayoitetea katibu wako?