Greek
Member
- Nov 8, 2010
- 68
- 1
Inaudhi sana. Kiongozi bila aibu unadai kuwa ni haki yako kutibiwa nje ya nchi? Badala ya kutoa wazo la kujenga hospitali ili wote tutibiwe hapa. Alafu kesho utasema hata wewe haujui kwani Tanzania ni masikini, haiendelei na maisha yanazidi kuwa magumu.
Au ndio tutaishia kusema western wanatunyonya
Shiiit..!
Au ndio tutaishia kusema western wanatunyonya
Shiiit..!