Katika hali ya kukinadi chama kinachojiita chama tawala,kiongozi huyo ngazi ya wilaya alijikuta akiwaambia wananchi ktk mkutano wake ktk jimbo moja lililopo mpakani na nchi ambayo sasa wanafanya uchaguzi wa rais, mwakani wanahitaji kuona sura mpya kuanzia kwenye Urais,wabunge hadi udiwani.
Aliwaambia itakuwa haina maana rais mpya diwani mpya mbunge kuukuu,kufanya hivyo ni sawasawa na nguo nyeupe kuweka kiraka cheusi katikati.
Mwisho alimalizia kusema kwamba walioanza na JK wataondoka na JK,kauli ambayo inabainisha dhairi alikuwa akimpiga dongo mbunge wake ambaye hawapikiki chungu kimoja.
Wanajf tuijadili hiyo kauli kwa mapana yake kama inaweza kuwa na tija ktk uchaguzi wa mwakani kwa vijana wanaodhamilia kugombea maeneo mbalimbali katika chaguzi za ubunge na udiwani kupambana na wabunge wakongwe waliodumu bungeni zaidi ya muongo mmoja.Karibuni.
Aliwaambia itakuwa haina maana rais mpya diwani mpya mbunge kuukuu,kufanya hivyo ni sawasawa na nguo nyeupe kuweka kiraka cheusi katikati.
Mwisho alimalizia kusema kwamba walioanza na JK wataondoka na JK,kauli ambayo inabainisha dhairi alikuwa akimpiga dongo mbunge wake ambaye hawapikiki chungu kimoja.
Wanajf tuijadili hiyo kauli kwa mapana yake kama inaweza kuwa na tija ktk uchaguzi wa mwakani kwa vijana wanaodhamilia kugombea maeneo mbalimbali katika chaguzi za ubunge na udiwani kupambana na wabunge wakongwe waliodumu bungeni zaidi ya muongo mmoja.Karibuni.