Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Ukiona kiongozi yoyote yule duniani katika Taifa lolote anatumia nguvu nyingi kudhibiti vyombo vya habari na wapinzani wake ujue mara nyingi anafanya hivyo ili kuficha maovu yake kama vile uminyaji wa haki za rai,utesaji wa raia pamoja na wizi na ufisadi.
Na pia kiongozi asietaka uwazi katika serikali yake mimi huwa sina imani nae kabisa maana ni lazima mtu ujiulize anaficha nini wakati yote anayoyafanya anayafanya kwa niaba yenu kupitia dhamana mliomkabidhi sasa iweje awafiche?
Mara nyingi viongozi wa aina hii duniani huwa wagumu kuachia madaraka na wakiamua kuachia madaraka basi huhakikisha wanarithiwa na vibaraka wao watakaolinda maovu yao pamoja na mali zao walizochuma kifisadi.
Mifano ya viongozi hawa ni kama Mobutu wa Zaire,Idd Amini Dada wa Uganda,Napoleon wa Ufaransa na wengineo wengi.
Kiongozi mwingine wa aina hii alikuwa ni Benito Mussolini aliekuwa kiongozi wa Italia ambae unaweza kumsoma kupitia hii link HAPA
Ukimsoma huyo utapata somo zuri sana na utagundua jambo muhimu sana maana mtawala huyu mwanzoni alifanyia kazi malalamiko ya wanachi na kujizolea sifa kibao lakin baadae ikawa kinyume chake.
Ogopeni sana viongozi wa aina hii maana watawaacha mlio wengi mkiwa masikini huku wao na washirika wao wa karibu wakijineemesha kwa kutumia jasho lenu.
Na pia kiongozi asietaka uwazi katika serikali yake mimi huwa sina imani nae kabisa maana ni lazima mtu ujiulize anaficha nini wakati yote anayoyafanya anayafanya kwa niaba yenu kupitia dhamana mliomkabidhi sasa iweje awafiche?
Mara nyingi viongozi wa aina hii duniani huwa wagumu kuachia madaraka na wakiamua kuachia madaraka basi huhakikisha wanarithiwa na vibaraka wao watakaolinda maovu yao pamoja na mali zao walizochuma kifisadi.
Mifano ya viongozi hawa ni kama Mobutu wa Zaire,Idd Amini Dada wa Uganda,Napoleon wa Ufaransa na wengineo wengi.
Kiongozi mwingine wa aina hii alikuwa ni Benito Mussolini aliekuwa kiongozi wa Italia ambae unaweza kumsoma kupitia hii link HAPA
Ukimsoma huyo utapata somo zuri sana na utagundua jambo muhimu sana maana mtawala huyu mwanzoni alifanyia kazi malalamiko ya wanachi na kujizolea sifa kibao lakin baadae ikawa kinyume chake.
Ogopeni sana viongozi wa aina hii maana watawaacha mlio wengi mkiwa masikini huku wao na washirika wao wa karibu wakijineemesha kwa kutumia jasho lenu.