Eliah The Great
Member
- Mar 22, 2013
- 21
- 3
Wakuu heshima mbele.
Nime notice rangi ya kinyesi changu kuwa ya kijani kabisa kwa siku ya tatu sasa.
Sipati maumivu yoyote wakati wa kujisaidia,na wala sina maumivu yoyote ya tumbo.
Content ya green vegetables na matunda sijabadili,ni ya kawaida kama ninavyo tumia siku zote.
Naomba kujuzwa nini sababuya hali hii,na nifanye nini kurudi hali ya kawaida.
AHSANTENI.
Nime notice rangi ya kinyesi changu kuwa ya kijani kabisa kwa siku ya tatu sasa.
Sipati maumivu yoyote wakati wa kujisaidia,na wala sina maumivu yoyote ya tumbo.
Content ya green vegetables na matunda sijabadili,ni ya kawaida kama ninavyo tumia siku zote.
Naomba kujuzwa nini sababuya hali hii,na nifanye nini kurudi hali ya kawaida.
AHSANTENI.