pua200
Member
- Dec 24, 2018
- 80
- 44
Rejea kichwa hapo juu
Kinyerezi mwisho maarufu kwa Kanga kwa Mjeshi, baada ya daraja mbili kulia Kuna dampo kubwa linanuka, ajabu zaidi Kuna harufu Kali,na gari la taka linaendelea kutupa vinyesi na kadhalika.
Nyumba hazikaliki, nzi kila Kona... viongozi Hawa dawa yao muwarushe kwenye mitandao na video mchukue...
Wananchi wanaoshi eneo hilo wamechoshwa na ukimya wa serikali ya mtaa huwo. Na nasema Kama Kuna mwanahabar, aliyetayar kinyerezi sio mbali. Ukifika kinyerezi mwisho chukua bodaboda fika kwa Mjeshi panda kilima kikali, ulizia dampo. Utaonyeshwa.
Utapata ushirikiano wankutosha, chukua picha, chukua video, fanya mahohiano utashangaa.
Sijui ni mtag Nani, naomba msaada muwatag wanahabar
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinyerezi mwisho maarufu kwa Kanga kwa Mjeshi, baada ya daraja mbili kulia Kuna dampo kubwa linanuka, ajabu zaidi Kuna harufu Kali,na gari la taka linaendelea kutupa vinyesi na kadhalika.
Nyumba hazikaliki, nzi kila Kona... viongozi Hawa dawa yao muwarushe kwenye mitandao na video mchukue...
Wananchi wanaoshi eneo hilo wamechoshwa na ukimya wa serikali ya mtaa huwo. Na nasema Kama Kuna mwanahabar, aliyetayar kinyerezi sio mbali. Ukifika kinyerezi mwisho chukua bodaboda fika kwa Mjeshi panda kilima kikali, ulizia dampo. Utaonyeshwa.
Utapata ushirikiano wankutosha, chukua picha, chukua video, fanya mahohiano utashangaa.
Sijui ni mtag Nani, naomba msaada muwatag wanahabar
Sent using Jamii Forums mobile app