Kinyang'anyiro cha Uraisi Zanzibar CCM ticket

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Pengine hii ni fununu na sio tetesi.
Bila ya hiyana nimeona kukuleteeni habari nilizo zipata kuhusu kinyang'anyiro cha U-Rais wa Zanzibar mwaka 2010 ikiwa kila mmoja na pendekezo lake.

Pendekezo la Rais Jakaya Mrisho Kikwete ni Mohamed Aboud.

Pendekezo la Rais Aman Abeid Karume ni Dr.Shein

Pendekezo la Rais mstaafu Dr.Salmin Amour Juma ni Dr.Gharib Bilal

Pendekezo la Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni Dr.Hassan Mwinyi.

Wako wengine ambao hawana nguvu kama hao waliopendekezwa vigogo nao ni Ali Juma Shamhuna, Vuai Nahodha, Haroun, na Mansour Yusuf Himid.


Lengo la Rais Kikwete kumpendekeza Mohamed Aboud, ni rais wa Zanzibar mwaka 2010 atoke Pemba(Mpemba) ili kupunguza manung'uniko ya Wapemba na kuuondoa ule aliouita mpasuko, na chuki.
Pendekezo na lengo la Rais Aman Karume kumpendekeza Dr.Shein, linakaribia na la Rais Kikwete, la zaidi ni msimamo wa Dr.Shein nikama msimamo wa Dr.Omar Ali Juma,kwa Wapemba na Pemba kwa jumla.

Pendekezo na lengo la Dr.Salmin Amour Juma, kumpendekeza Dr.Gharib, ni kupingana na pendekezo la Amani Karume, na zaidi
ni mwana mtandao asiyetetereka yuko makini.
Pendekezo na lengo la Ali Hassan Mwinyi kumpendekeza Dr.Hassan Mwinyi, kwanza ni mtoto wake, pili ni kuidhibit zaid Zanzibar, kwani Rais wa Tanzania itakuwa ni M-Bara na Zanzibar ni M-Bara.
Hizo ndio habari zilizopatikana, lakini maswali mengi yalijitokeza hususan kwa pendekezo la Rais Kikwete na Rais Aman Karume, kuwapendekeza Wapemba Dr.Shein na Mohamed Aboud, wakati itikadi ya CCM,M-PEMBA hatawali,hapewi Nchi, hapewi Serikali, leo ilikuwa kuwaje kupendekezwa Wapemba....Mpemba?
 
Rais mstaafu Mwinyi angejiondoa kwenye suala hili kwa sababu yeye tayari anayo maslahi binafsi (personal interest.) Unless mnataka kuturudishia utawala wa Masultani Zenj.
 
Hayo unayoyaita 'mapendekezo', wamependekeza wapi? au unamaanisha 'mapendeleo'?

CCM haina utamaduni wa kuwapata viongozi kutokana na mapendekezo ya Rais au Marais wastaafu. Isipokuwa hao viongozi wanaweza wakawa wanampendelea (wish) mtu fulani.
 
Pengine hii ni fununu na sio tetesi.
Bila ya hiyana nimeona kukuleteeni habari nilizo zipata kuhusu kinyang'anyiro cha U-Rais wa Zanzibar mwaka 2010 ikiwa kila mmoja na pendekezo lake.

Pendekezo la Rais Jakaya Mrisho Kikwete ni Mohamed Aboud.

Pendekezo la Rais Aman Abeid Karume ni Dr.Shein

Pendekezo la Rais mstaafu Dr.Salmin Amour Juma ni Dr.Gharib Bilal

Pendekezo la Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni Dr.Hassan Mwinyi.

Wako wengine ambao hawana nguvu kama hao waliopendekezwa vigogo nao ni Ali Juma Shamhuna, Vuai Nahodha, Haroun, na Mansour Yusuf Himid.


Lengo la Rais Kikwete kumpendekeza Mohamed Aboud, ni rais wa Zanzibar mwaka 2010 atoke Pemba(Mpemba) ili kupunguza manung'uniko ya Wapemba na kuuondoa ule aliouita mpasuko, na chuki.
Pendekezo na lengo la Rais Aman Karume kumpendekeza Dr.Shein, linakaribia na la Rais Kikwete, la zaidi ni msimamo wa Dr.Shein nikama msimamo wa Dr.Omar Ali Juma,kwa Wapemba na Pemba kwa jumla.

Pendekezo na lengo la Dr.Salmin Amour Juma, kumpendekeza Dr.Gharib, ni kupingana na pendekezo la Amani Karume, na zaidi
ni mwana mtandao asiyetetereka yuko makini.
Pendekezo na lengo la Ali Hassan Mwinyi kumpendekeza Dr.Hassan Mwinyi, kwanza ni mtoto wake, pili ni kuidhibit zaid Zanzibar, kwani Rais wa Tanzania itakuwa ni M-Bara na Zanzibar ni M-Bara.
Hizo ndio habari zilizopatikana, lakini maswali mengi yalijitokeza hususan kwa pendekezo la Rais Kikwete na Rais Aman Karume, kuwapendekeza Wapemba Dr.Shein na Mohamed Aboud, wakati itikadi ya CCM,M-PEMBA hatawali,hapewi Nchi, hapewi Serikali, leo ilikuwa kuwaje kupendekezwa Wapemba....Mpemba?

hii habari kaweke pale michenzani ktk ubao wa SAUTI YA MWEMBE KISONGE au kama maskani ya KACHORORA na wao wana ubao wao pale makontena,basi kawaekee.
 
hii habari kaweke pale michenzani ktk ubao wa SAUTI YA MWEMBE KISONGE au kama maskani ya KACHORORA na wao wana ubao wao pale makontena,basi kawaekee.

Hii ni habari nyeti kabisa haina wasiwasi ndani yake ,na kama Karume alipata kura tisa aliwezaje kupita Dodoma kama hakuna suala la kila mtu na mtu wake ndani ya CCM ,suala la nani atakuwa Raisi wa Zanzibar kwa upande wa CCM ni usanii wa aina yake ila kwa Wazanzibari ninavyowafahamu na walipofikishwa hawachagui mtu wanachagua Chama na kwa alarm hii ndio wameshaanza kuchemka kusema hawataki Raisi wa kuchaguliwa na kundi fulani na hasa wanasema wamechoka kuchaguliwa Raisi wa kuongoza Zanzibar kutoka Dodoma kwani anakuwa kama bendera.
 
Hizo ndio habari zilizopatikana, lakini maswali mengi yalijitokeza hususan kwa pendekezo la Rais Kikwete na Rais Aman Karume, kuwapendekeza Wapemba Dr.Shein na Mohamed Aboud, wakati itikadi ya CCM,M-PEMBA hatawali,hapewi Nchi, hapewi Serikali, leo ilikuwa kuwaje kupendekezwa Wapemba....Mpemba?


kweli ni itikadi ya CCM hiyo au umeamua kuwabebesha itikadi hiyo? Maana kama ni kweli huoni kuwa mapendekezo ya Shein na Aboud yanapingana na hiyo kauli yako.
 
mwiba ncuf twanjua huyooo

sawa na wale wazee .......... wantumwa nchama
Hayo mazoea ya kubambikiza kesi kama polsi wa bongo ndio yanayoturudisha tulikotoka kule kwenye enzi ya mawe.
Kama ukitaka kujua mimi namsapoti Kikwete kama Raisi wa Tanzania na ingawa kura ni siri nilimpa na hadi hii leo bado nina matumaini kwamba ataikoa Tanzania na kulitoa Taifa hili kwenye umasikini japo siku moja.
Kitu kimoja haina maana kwa vile anayo sapoti yangu kimawazo ndio nikae kimya , hapana naamini ikiwa ninamponda basi ni mchango wangu kwake ili aone kwamba analolifanya na mnapokuwa pamoja ni lazima muongozane njia mupeane mawazo na wakati mwengine mnakuwa wakali vidole machoni lakini hapigani mtu na ndio linapopatikana suluhisho.
Mimi sio CUF lakini kutokuwa CUF haina maana naichukia au nitakuwa tayari kuhalalisha uwongo uonekane kweli na kweli ionekane uwongo ,hapo sina msaada wala siwezi kutumwa na akili yangu kuhalalisha ,nipo straight forward kwenye kusema ukweli nitasema na kuutetea ,kwani hata Kikwete nilimtetea sana kuhusiana na njia alizopita ili kuukwaa Uraisi ilikuwa hakuna njia mbadala na asngeweza kupita kwa maneno ya kwenye ukumbi au baraza ni lazima atumie mbinu za hali na mali.
Na hili suala la Zanzibar nani atakuwa Raisi sina uzito nalo kwani nafahamu fika CCM kwa Zanzibar ni sifuri ,sina ile dhana ya kwamba CUF wako Pemba na CCM ni waUnguja ,hilo halina nafasi katika nafsi yangu wala sijikubalishi ili ionekane hivyo ,no way ,CCM haina ushindi hata wa 25% hapo Unguja yaani kwa kila watu mia basi wanaoisapoti CCM hawafiki hata 25 ,halafu useme CCM ina wafuasi wengi Unguja ,sapoti ya CUF ni kubwa Unguja kuliko Pemba.
Hivyo anaechaguliwa hapo CCM hatoweza kumshinda mpinzani wa CUF hata aroge ,njia na mbinu ni wizi tu .Utaona sababu kubwa ya kufikia kufanya hivyo ni kuwa kila mmoja ana uhakika wa ushindi wa wizi ndio ukaona kunazuka vurumai kila mmoja kipendekeza mtu wake na kumfanyia kampeni ,lakini leo hii pakitangazwa kuwa Uchaguzi utasimamiwa na vyombo vya nje haki ya Mungu wote watajikata kila mmoja upande wake maana itakuwa aibu mtu na wanajua kuwa ataumbuka mtu.Msifanye mchezo kugombeana huku kuna siri yake ambayo ni uhakika wa kuwekwa madarakani hata kwa kuuwa lakini sio kwa ushindi wa kura za haki so ndio kila mtu anavizia.
Tena hatari ikiwa uchaguzi utasimamiwa na United Nation basi hao akina Ali Karume na wengine si ajabu wakasema hawakuwahi kutamka kama wanataka kugombea Uraisi wajameni itakuwa aibu.
 
jee wewe tukuite ni ccm?
mimi ninapendekeza jusa.....jee na mimi ni lamu?

Mpaka sasa ni Ali karume pekee aliyetangaza kugombea uprezi hapo Zenj.. Mwiba kaja na mawazo yake na kusema kuwa ni tetesi
 
Pengine hii ni fununu na sio tetesi.
Bila ya hiyana nimeona kukuleteeni habari nilizo zipata kuhusu kinyang'anyiro cha U-Rais wa Zanzibar mwaka 2010 ikiwa kila mmoja na pendekezo lake.

Pendekezo la Rais Jakaya Mrisho Kikwete ni Mohamed Aboud.

Pendekezo la Rais Aman Abeid Karume ni Dr.Shein
Pendekezo la Rais mstaafu Dr.Salmin Amour Juma ni Dr.Gharib Bilal

Pendekezo la Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni Dr.Hassan Mwinyi.

Wako wengine ambao hawana nguvu kama hao waliopendekezwa vigogo nao ni Ali Juma Shamhuna, Vuai Nahodha, Haroun, na Mansour Yusuf Himid.


Lengo la Rais Kikwete kumpendekeza Mohamed Aboud, ni rais wa Zanzibar mwaka 2010 atoke Pemba(Mpemba) ili kupunguza manung'uniko ya Wapemba na kuuondoa ule aliouita mpasuko, na chuki.
Pendekezo na lengo la Rais Aman Karume kumpendekeza Dr.Shein, linakaribia na la Rais Kikwete, la zaidi ni msimamo wa Dr.Shein nikama msimamo wa Dr.Omar Ali Juma,kwa Wapemba na Pemba kwa jumla.

Pendekezo na lengo la Dr.Salmin Amour Juma, kumpendekeza Dr.Gharib, ni kupingana na pendekezo la Amani Karume, na zaidi
ni mwana mtandao asiyetetereka yuko makini.
Pendekezo na lengo la Ali Hassan Mwinyi kumpendekeza Dr.Hassan Mwinyi, kwanza ni mtoto wake, pili ni kuidhibit zaid Zanzibar, kwani Rais wa Tanzania itakuwa ni M-Bara na Zanzibar ni M-Bara.
Hizo ndio habari zilizopatikana, lakini maswali mengi yalijitokeza hususan kwa pendekezo la Rais Kikwete na Rais Aman Karume, kuwapendekeza Wapemba Dr.Shein na Mohamed Aboud, wakati itikadi ya CCM,M-PEMBA hatawali,hapewi Nchi, hapewi Serikali, leo ilikuwa kuwaje kupendekezwa Wapemba....Mpemba?

heshima kdg mkuu,siku hizi anaitwa Dr. AMAAN ABEID KARUME,mpe haki yake na sifa yake.
 
Pengine hii ni fununu na sio tetesi.
Bila ya hiyana nimeona kukuleteeni habari nilizo zipata kuhusu kinyang'anyiro cha U-Rais wa Zanzibar mwaka 2010 ikiwa kila mmoja na pendekezo lake.

Pendekezo la Rais Jakaya Mrisho Kikwete ni Mohamed Aboud.

Pendekezo la Rais Aman Abeid Karume ni Dr.Shein

Pendekezo la Rais mstaafu Dr.Salmin Amour Juma ni Dr.Gharib Bilal

Pendekezo la Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni Dr.Hassan Mwinyi.

Wako wengine ambao hawana nguvu kama hao waliopendekezwa vigogo nao ni Ali Juma Shamhuna, Vuai Nahodha, Haroun, na Mansour Yusuf Himid.


Lengo la Rais Kikwete kumpendekeza Mohamed Aboud, ni rais wa Zanzibar mwaka 2010 atoke Pemba(Mpemba) ili kupunguza manung'uniko ya Wapemba na kuuondoa ule aliouita mpasuko, na chuki.
Pendekezo na lengo la Rais Aman Karume kumpendekeza Dr.Shein, linakaribia na la Rais Kikwete, la zaidi ni msimamo wa Dr.Shein nikama msimamo wa Dr.Omar Ali Juma,kwa Wapemba na Pemba kwa jumla.

Pendekezo na lengo la Dr.Salmin Amour Juma, kumpendekeza Dr.Gharib, ni kupingana na pendekezo la Amani Karume, na zaidi
ni mwana mtandao asiyetetereka yuko makini.
Pendekezo na lengo la Ali Hassan Mwinyi kumpendekeza Dr.Hassan Mwinyi, kwanza ni mtoto wake, pili ni kuidhibit zaid Zanzibar, kwani Rais wa Tanzania itakuwa ni M-Bara na Zanzibar ni M-Bara.
Hizo ndio habari zilizopatikana, lakini maswali mengi yalijitokeza hususan kwa pendekezo la Rais Kikwete na Rais Aman Karume, kuwapendekeza Wapemba Dr.Shein na Mohamed Aboud, wakati itikadi ya CCM,M-PEMBA hatawali,hapewi Nchi, hapewi Serikali, leo ilikuwa kuwaje kupendekezwa Wapemba....Mpemba?

Mwiba ulikuweko zanzibar karibuni nini kwenda kumpokea Karume - hii habari haina uzito lakini kwa kuchangia tu narudi kule kule kweny siasa za Zanzibar - Mohd Aboud wazee wa CCM hawatampitisha kwani ni muarabu na wao hawataki muarabu na halafu mpemba katika CCM Zanzibar haaminiwi kabisa hata kama atajichuna ngozi na kujipaka rangi ya kijani. Kwa hivyo hao wawili tunawatoa - mimi nionavyo ni kuwa kuna kila dalili ya kupendekezwa Hussein Mwinyi na wameshaanza kumvuta kwenda kugombea ubunge pale Kwahani.
 
hii kweli tetesi lakini 'always rumours come to be true' kwa hiyo wana JF tusubili matunda tuone atakaye pambana na SEIF naamini atakuwa huyo huyo SEIF anaweza kuteuliwa tena.
 
Pendekezo Langu Ni Karume Iii Kwani Huyu Bwana Ataleta Chachu Za Kikarume I Ambaye Alimpeleka Puta Nyerere,halafu Mzee Wa Mikasi Dr Sheini Wamwache Apumzike,wamwoze Mke Mwingine Apumzike Kwa Amani Enginia Upo Apo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom