Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kudhalilisha jina la kitutsiSimba buaaanaa
Bila pira Tigo pesa mlikuwa mnatolewa bikiraKwa povu hili ni wazi mikia hamna ubingwa msimu huu...kilichobaki ni kupiga kampeni dhidi ya wananchi na wadau wao
Huyu dogo atarithi utahira wako bora umtoeBasi fanyeni tumepewa penalty, tuuweni sasa.
Tulia mdogo wanguAcha kudhalilisha jina la kitutsi
unadhani we pekee ndio uliangalia ile mechi. Watu walikuwa kwa box hata kabla hajapiga. Na refa kasimama hapo.Hasa kale ka Mr Silim kale ka Ally Kamwe.Halafu wanashindwa pia kuelewa filimbi ilipolia Saido akaenda kupiga ndipo wachezaji wengine waliondoka naye na Saido hakupiga moja kwa moja ,alitisha kidogo ndo akapiga.
Mnakumbuka ya leo wakati mlipuuzia kilio cha Wananchi walichokitoa kwa msimu mzima wa mwaka jana kuhusu dulma walizokuwa wakitendewa na marefa na washika hatamu wa mpira nchini!!!Inauma sana, inatia kinyaa. TFF mnaua football ya Tanzania.
Hivi zile penati za simba hamjaziona?Washabiki wa Yanga wasiposema ukweli nitaona Kweli Tanzania kuna shida kwenye vichwa vya watu. Inatia kichefuchefu kwa wapenzi wa mpira unaenda kuangalia match ambayo ni rigged. Hii ni match fixation tff wachunguze na Takukuru wanuse kuna harufu ya rushwa