Kinondoni, Dar: Yaliyojiri kwenye mkutano na wa Wanahabari na viongozi wa vyama 8 vya siasa

Katika mazingira haya inahitajika jumuiya ya kimataifa ndio itatue matatizo ya democrasia ya Tz hao viongozi wa upinzani Mara ngapi wanafanyiwa maovu makubwa na uonevu hatuoni Watanzania wawatie Moyo? Watu waende The Hague wakajifunze kuheshimu wananchi wa nchi zao sio kugeuza jeshi kuwa Mali ya chama na bunge kuwa Mali ya mtu mmoja halafu utegemee usawa hapo
Sipingi mawazo yako moja kwa moja ila 'practicality' yake ndio siioni. Huko 'The Hague' watafikaje kabla ya damu nyingi haijamwagika? Hapo Kenya tu uliona jinsi walivyo'punch' hiyo The Hague' unayoisema, na wakaendelea kuingia madarakani hadi leo! Hapa inaonekana huelewi 'process' nzima ya kwenda huko 'The Hague'.

Mawazo yangu ni kuwa hakuna njia ya mkato ya kuaondoa hayo uliyoyaelezea hapo juu ambayo hata mimi na wengi yanatuumiza. Njia pekee ni kupitia kwa wananchi, na ili iwe hivyo, ni lazima kuwa na subira na kufanya kazi ngumu ya kuwafikia wananchi hao na kuwaelimisha. Inaweza ikachukua miaka kadhaa, lakini ni njia sahihi kabisa na ya uhakika ya kuyaondoa manyanyaso hayo uliyoyaelezea.
 
Sipingi mawazo yako moja kwa moja ila 'practicality' yake ndio siioni. Huko 'The Hague' watafikaje kabla ya damu nyingi haijamwagika? Hapo Kenya tu uliona jinsi walivyo'punch' hiyo The Hague' unayoisema, na wakaendelea kuingia madarakani hadi leo! Hapa inaonekana huelewi 'process' nzima ya kwenda huko 'The Hague'.

Mawazo yangu ni kuwa hakuna njia ya mkato ya kuaondoa hayo uliyoyaelezea hapo juu ambayo hata mimi na wengi yanatuumiza. Njia pekee ni kupitia kwa wananchi, na ili iwe hivyo, ni lazima kuwa na subira na kufanya kazi ngumu ya kuwafikia wananchi hao na kuwaelimisha. Inaweza ikachukua miaka kadhaa, lakini ni njia sahihi kabisa na ya uhakika ya kuyaondoa manyanyaso hayo uliyoyaelezea.
Huko Kenya baada ya The Hague unaona kuna ungese Kama unaoendelea hapa? Huoni Kama Uhuru Kenyatta wa kabla ya 2007 na huyu wa leo ni tofauti kabisa? Unafikiri kajipendea kuheshimu katiba? Kama kwenda huko Kunahitaji damu kumwagika ni wapi uliona Uhuru wa kweli ukapatika bila damu kumwagika? Kama watawala wanatengeneza mazingira ya kumwagika damu unawezaje kuepuka hayo mazingira pale ambapo jeshi lako limegeuzwa kuwa la chama? Unafikiri raia wa nchi wana jeshi kea kauli za Mabuyo? Ni wazi Kunahitaji jeshi la nchi litakalo waambia watalawa Katiba Ni Takatifu na sio hawa wachumia tumbo wanaovishwa vyeo vya kujenga majengo na kutishia raia zao ili waajiriwe jeshini.....
 
Inatakiwa watumie haki yao kikatiba, wakiendelea namna hii watapotea kabisa. Wakiamua hakuna linaloshinfikana
Sasa hivi hatuendi kwa katiba, tunaenda kwa matamko tu. Yaani bado tunayo safari ndefu sana mpaka kufikia kuwa jamii inayoheshimu sheria.
 
Sasa hivi hatuendi kwa katiba, tunaenda kwa matamko tu. Yaani bado tunayo safari ndefu sana mpaka kufikia kuwa jamii inayoheshimu sheria.
Ni kwasababu wananchi tumekubali hali hiyo itokee, ingekuwa Kenya wangegoma kabisa
 
Huko Kenya baada ya The Hague unaona kuna ungese Kama unaoendelea hapa? Huoni Kama Uhuru Kenyatta wa kabla ya 2007 na huyu wa leo ni tofauti kabisa? Unafikiri kajipendea kuheshimu katiba? Kama kwenda huko Kunahitaji damu kumwagika ni wapi uliona Uhuru wa kweli ukapatika bila damu kumwagika? Kama watawala wanatengeneza mazingira ya kumwagika damu unawezaje kuepuka hayo mazingira pale ambapo jeshi lako limegeuzwa kuwa la chama? Unafikiri raia wa nchi wana jeshi kea kauli za Mabuyo? Ni wazi Kunahitaji jeshi la nchi litakalo waambia watalawa Katiba Ni Takatifu na sio hawa wachumia tumbo wanaovishwa vyeo vya kujenga majengo na kutishia raia zao ili waajiriwe jeshini.....
Unaeleza ninayoyafahamu yote vizuri kabisa, na nimekwishakueleza mara kadhaa kwamba ikishindikana kuepuka kumwaga damu ya waTanzania, basi hakuna namna.

Lakini wewe naona unataka tuu njia za mkato ambazo hata huko unakokukimbilia hutafika.

Hayo mazingira yaliyowafikisha Kenyatta na Ruto 'The Hague', unayaona yapo hapa, au unajisemea tu mradi uonekane damu imechemka?

Bila shaka najibishana na mtu asiyeelewa vizuri haya mambo, na kwake mradi alisikia 'The Hague', basi inatosha!
Tulizana, acha papara, mambo yakichemka na wananchi wakifikia mahala, wataamua wenyewe na hata "The Hague" haitakuwa lazima.

Kwa nini usiungane na viongozi wa upinzani kuwaelimisha wananchi watoe hukumu inayostahiri badala ya kukimbilia kutafuta damu yao imwagike?
 
Back
Top Bottom