Katika tuhuma zinazosambaa mitandaoni ni kua Jamaa kadhulumiwa na hao hao uliowataka wafanye Uchunguzi. Anyway, ngoja tuoneScenario inayosemwa ni kuwa zile silaha alinyang'anya maaskari baada ya kutaka kumwonea kimakosa, haya mambo yanafanyika sana hasa wale wanaitwa tigo wanaozunguka na pikipiki ni washenzi sana wale. Hapo mtambambika kesi kuwa alishirikiana na gaidi walioko Zambia kwa sababu mnajua hawezi ongea lakini damu yake itawa hunt mmoja baada ya mwingine na hamtatoboa!!
Nadhani angewashusha wengi ingependeza zaidiNi jambo la kheri sana hawa Polisi wanaoitumikia CCM badala ya wananchi na kupora mali za raia kuendelea kuuawa.Mungu bariki sana yule gaidi.
View attachment 1908590
View attachment 1908591
Mungu atungulize haki mbele. Jeshi la polisi ni muhimu sana kwa usalama wa raia na mali zao. ILA ndani yao kuna baadhi wanakosa weledi na wanatumia nafasi kwa masilahi binafsi.Polisi wamejengewa hii tabia ya dhuluma na watawala waliopo madarakani, kama hawa hawa polisi ndio wanaotumika na watawala waliopo madarakani ili kupora chaguzi, unategemea kuna wa kumzuia mwenzake? Kinachofanyika kwa polisi na watawala hawa ni kile waswahili wasemacho, nilinde kwa jua, nikulinde kwa mvua. Hapo polisi wanahakikisha ccm wanaingia madarakani kwa kupora chaguzi, kisha ccm wakishaingia madarakani wanawaachia polisi wale rushwa na kupora wananchi.
Jamaa alikuwa giant sana aisee.View attachment 1908147
Ila Mwamba Alikua ameshiba aisee, yaani hapo watu wazima kama kasimama na katuni
Acha uoga.Daah kuna watu wapuuzi aah ungekua ndugu yangu wewe mjinga uliyepiga namba ya huyo jamaa ningekukana shuaini kabisa. Kutafuta matatizo kijinga na unakuja kutangaza humu mfyuuuu
Jamaa alikuwa bonge la mtu, unaweza kusema ana miaka zaidi ya arobaini Kumbe ni dogo wa Mwaka 1991.
Ndo maana nasema weng hatujui haya mamboo.mtu yule namna na umiliki wa silaha naamin anamafunzo ya silaha. Kama huamin basi ka na mtizamo wako namie nbaki na wanguHoja yako ni nyepesi sana... Unaanza vipi kumringanisha mtu mwenye sare amaye amepitia mafunzo ya silaha na raia wa kawaida???
Kuanzia hapo tu ndipo ulipoonyesha udhaifu🚮🚮
Pale n ukanjanja tu mama alikuwa anaongeaWabongo tunaupiga mwingi kwenye kutoa ushahidi
Yupo na mtoto mzuri
Je hiyo njia sahihi ya kudai haki hata mbele za Allah au Mungu?Bogus ni hawa Polisi waliokuwa wanataka kumpora bwana Hamza madini yake wakaishia kuuawa na Bwana Hamza pamoja na wewe unaeshabikia mifumo ya utoaji haki ambayo imeoza katika nchi hii.
Kama mifumo yote ya kudai haki imeoza unataka akadai haki wapi?Je hiyo njia sahihi ya kudai haki hata mbele za Allah au Mungu?
Namba yke ni iyo ya juu sio ya chiniNilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulishoView attachment 1907968
Ngojeni uchunguzi huru ufanyike. Kumbe aliyedhulumiwa ni baba yake? Msomali anapewa migodi Tanzania? Kwanini hakwenda kwenye vyombo vya dola au kuwashughulikia wabaya wa baba yake? Je huyo mlinzi aliyeuawa naye alikuwa na kosa gani? Ugaidi kwa tafsiri ya haraka ni kusababisha terror kwa wengine. Hivyo, alichofanya ni ugaidi na walichokuwa wamefanya polisi kama ni kweli ni dhuluma.
Walitakiwa wamtie mkononi akiwa hai,angewasaidia sana kumshindilia gaidi MboweHao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Broiler lile mafunzo litakua limeyapatia kwenye play station call of dutyNdo maana nasema weng hatujui haya mamboo.mtu yule namna na umiliki wa silaha naamin anamafunzo ya silaha. Kama huamin basi ka na mtizamo wako namie nbaki na wangu
Kiwango chako cha elimu kikusaidie kujua kwanini wanakejeli.Hivi nyie mnaokejeli mna kiwango gani cha elimu?