Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,500
- 17,571
Nikweli ila wewe umetazama kwa video nirahisi kujua hivyo ila polisi wao wasingeweza kujua ni mmoja au ni wengi eneo la tukio ndiyo maana walikuwa wanachukua tahadhari kubwa ,wewe ukusikia wananchi walivyo sema ....waliwapigia kelele polisi wasimshambulie mlinzi wa kampuni binafsi ndiyo wakajulishwa kuwa ni peke yake alikuwepo wakati huo huyo jamaa alikuwa kesha uliwaNaamini kabisa sio tukio la kigaidi, bali ni mtu amevutugwa tu akili okamtoka kidogo ndio hayo yote yakatokea, bahati mbaya sana kwetu kila tukio linalotokea tunalinalinasinibisha na siasa! Na kuja na matokeo ya jumla kwa kitu ambacho mtu anakitasfiri kwa mapenzi na ufuasi wa chama cha siasa!
Bahati mbaya nyingine ni police wetu kupoteza ushahidi muhimu, kwa jeshi lenye weledi, vifaa na ushirikiano hili tukio ni dogo sana kiasi ambacho wangeweza kumkamata kabla hajaleta madhara.