UgaidSawa tu hata wakitudanganya ila wakae wakijua hili tukio sio la kuchukulia masihala. Huenda akawa ni mmoja kati ya wengi ambao hawajajulikana bado.
Acha tumsubirie Mambo Sasa. Ila kwa Polisi wetu hawashindwi kutuambia alikuwa na Tatizo la Akili
Unataka tuelekee wapi? Wewe unaelekea wapi kwa sasa?daah! sijui tunaelekea wapi jamani!
Inategemea ugonjwa. Kuwa mgonjwa wa akili siyo lazima uwe kichaa.Lakini mkuu mgonjwa wa akili anawezaje kuseti bunguki mpaka kujua kurusha risasi,alafu mgonjwa wa akili akudhuru kabisa raia?,maswali ni mengi sana tusubiri uwenda tukapata taarifa nzuri zaidi.
Mkuu nimeangalia video ya yule askari aliyeuwa kuna makosa mengi kayafanya utafikiri hana mafunzo kabisaHuyu Jamaa hakupandwa na Malaria wala haumwi huyu mtu ni TIMAMU.
Naendelea kuangalia tukio hili ila nabaki na maswali ambayo Polisi wanatakiwa kujiuliza zaidi yetu.
Jamaa alikuwa na silaha 3 kuna video ambayo nimeipata na inaonesha jamaa ana mashine kubwa 2 na bastola moja.
Huyu jamaa anaijua bunduki vyema kwa jinsi ambavyo alikuwa anaonekana akiitumia huyu hakuwa CHIZI. Polisi wasichukulie poa hili tukio kuna maswali mengi sana ambayo yanahitaji jicho la tatu kupata majibu.
Kuna raia ambao walikuwa ndani ya daladala mita chache na alipo jamaa na hakuwadhuru kabisa japo angeweza. Alionekana akiongea maneno yenye kuashiria kitu na kujipiga kifua.
Polisi waulizeni hao raia waliokuwa karibu ni kipi alikuwa anakisema ili mjue mnapambana na tukio la aina gani.
Wewe ni mpuuzi si bureYah halikuwa tukio halisi. Angalia tena utagundua.
Natamani tupate ushahidi wa watu walio kuepo kwenye lile basi.Kuna maneno alikua anayaongea pale huenda yaka sugest alikua anataka kufikisha ujumbe gani.Huyu jamaa siyo mjinga, kuna ujumbe alikuwa anaufikisha. Vyombo vyetu vya usalama vinabidi kwenda extra miles, wasiishie tu kusema tumemuua.
Nadhani ulimaanisha Uchunguzi unaendelea!Uchaguzi
Mashetani wamefikishwa huku kwetu na matamshi ya viongozi wa serekali yetu eti Tanzania kuna ugaidi.Wow. Hawa mashetani wamefika Tanzania? Poleni zenu majirani.
Ukitaka kujua ni game angalia ana AK47 Mbili na Bastola halafu anashambulia polisi akiongoza magari
Unataka tuelekee wapi? Wewe unaelekea wapi kwa sasa?
Nafikiri haujaelewa hapo kwenye 'Raia hana clearance ya kua nayo'Mjambazi kibao wana SMG. Raia kibao wana SMG za magendo
Hakuna gaidi wa ukweli anaye leta negotiation kama hvi. Huyu hakua gaidiItakuwa ni Magaidi wa ukweli. Sio yule Mbowe anaesingiziwa
Ngja ntakutupiaMkuu tupiako