Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
Nature ya ulinzi wetu wa jiji ni mdogo, nchi za watu waliostraabika CCTV camera za barabarani zingemuonyesha tangia alikotokea hadi kufika hapo eneo la tukio... na alipitaje huko na hiyo mashine kubwa bila kushtukiwa na maaskari.
Ingekuwa hivyo kule marekani wasingekuwa watu kama hao wanaua watu kibao