Kinondoni, Dar: Hamza mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kuna tukio limetokea hivi punde la mtu hasiejulikana kufyatua risasi hovyo na kuuwa askari , katika tukio hilo mpaka sasa hakuna taarifa za ndani juu ya tukio hilo zaidi ya mitandao ya kijamii kurusha picha za mtu huyo akiwa hai na nyingine akiwa amekufa. Sasa masikio na hamu tele kwa watanzania kujua huyo ni nani ? ametokea wapi?

alikuwa anazungumza nini kabla ya tukio kutokea na kabla kuuwawa ? kwanini alielekea ubalozi wa ufaransa au kwanini alikuwa maeneo hayo ya darajani ? kwanini ameanza kushambulia askari ? Interlijensia ya Polisi nchini inasemaje kwa tahadhari?

Je, umbo la Interlijensia linasema walikuwa wangapi na walipanga nini hasa? maswali mengi tunayo na tunawasubiri waandishi wetu hapa nchi , mana Marekani kupitia Ubalozi wao wameisha toa tahadhari kwa Raia wake , Je, Raia wa Tanzania wafanye nini ?
 
Nature ya ulinzi wetu wa jiji ni mdogo, nchi za watu waliostraabika CCTV camera za barabarani zingemuonyesha tangia alikotokea hadi kufika hapo eneo la tukio... na alipitaje huko na hiyo mashine kubwa bila kushtukiwa na maaskari.
 
Yaani ni kuharibiana biashara:
Yaani matukio kama haya huwa yanatekelezwa miezi ya Julai,Agosti au Septemba.
Kibiashara ni kipindi hiki ndio muda wengi wanasafiri kwa ajili ya utalii.
Hatuwezi kuunganisha na siasa kali mpaka uchunguzi ukamilike.
 
Waandishi watazipataje wakati mhalifu kauawa na polisi? Polisi wamefanya kosa kubwa sana
 
Kwaio ni gaidi? aache raia wooote hao, angetaka kuingia ubalozini pia angeingia vizuri tu kwani katoka wapi kwa mguu hadi kufika hapo??

THIS IS STAGED
Huyu alikuwa afanye tukio kubwa sana kuna msafara alikuwa anasubiri upite ndio aushambulis sema raia wema walitoa taarifa msafara ukageuza kabla haujafika mhalifu alipo
 
Huyu ni imani imemkaa na chuki na polisi maana maelezo yake inasemekana alikuwa anasema "mi nadili na askari tuu "
Dah inaogopesha. Na ni juzi huko Mombasa Kenya polisi waliwawahi magaidi wawili ambao walikuwa na AK 47 wakienda kuvamia kituo cha polisi. Aliyewauza ni gaidi mwenzao aliyekamatwa na kutoa siri.
likoni.jpg
 
Huyu jamaa nahisi alikuwa anataka kujiua tu, maana angekuwa na nia ya kufanya ugaidi angeanza na hizo gari za karibu hapo.
Hata mimi nimeangalia video zake kadhaa nikaishia kumhurumia tu, yawezekana jamaa alikuwa na ugonjwa flani.
Mungu kasimamia kuna watu walikuwa wengi kweli kwenye daladala yeye alikuwa anazizunguka wala hasumbui raia ila yeye anatafutana na askari tu, duh! Haya maamuzi ya kufanya jambo hili sijui kilimkuta nini aisee mpaka likasababisha afanye hivi!
 
Nature ya ulinzi wetu wa jiji ni mdogo, nchi za watu waliostraabika CCTV camera za barabarani zingemuonyesha tangia alikotokea hadi kufika hapo eneo la tukio... na alipitaje huko na hiyo mashine kubwa bila kushtukiwa na maaskari.
shida iliyopo unaweza kuta watu walimuona huko akitembea wanajua ni usalama, kama tulivyozoe kusema askari kanzu.
 
There was a shootout near the French embassy in the Tanzanian city of Dar es Salaam on Wednesday.

The suspected shooter was neutralised by a sniper.

The motive of the attack is still not clear and authorities are yet to comment.
The shooting occurred as President Samia Suluhu met police chiefs at a different location in Dar es Salaam.

The US embassy in Tanzania has issued an advisory urging its citizens to avoid the area near the French embassy and monitor local media for information.



1629893309238.png
 
Back
Top Bottom