Wangemkamata take wenzako!Ameshauwawa tayariView attachment 1907619
upo mzee? umepotea kabisa. vipi serikalini mnasemaje? Teuzi vipi?Duh...!.
Endelea kutu update!.
P
Duh..kauwa wangapiAmeshauwawa tayariView attachment 1907619
Ameshauwawa tayariView attachment 1907619
Miss huogopi risasi, hadi umemgotoa kikaribu hivyo?Ameshauwawa tayariView attachment 1907619
Nami nimesikia ni pale maana kuna clips ambazo inasemekana ni staff wa Stanbic ndio walikua wana recordItakua pale near France Embassy
Ni kweli, kwenye magroup naona video zinatembea sasa risasi zikipigwa hapo Stanbic karibu na Salenda / Ubalozi wa Ufaransa,,,
Naona maombi yao ya Ugaidi yanaanza kujibiwaView attachment 1907597
Sio vizuri kupost picha ya maitiAmeshauwawa tayari
Umeona picha ndude aliyovaa kichwani?Huyu jamaa nahisi alikuwa anataka kujiua tu, maana angekuwa na nia ya kufanya ugaidi angeanza na hizo gari za karibu hapo.
Dah!,bonge la mtu.Ameshauwawa tayariView attachment 1907619
Sijaona. Amevaa nini?Umeona picha ndude aliyovaa kichwani?