Kinondoni: CCM wavamia mkutano wa CUF na kuharibu vyombo vya Muziki

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Heshima kwenu wakuu,

Nimeshangaa kuona Visasi vya CCM na CUF vikiendelea Kinondoni baina ya CCM na CUF. CCM jana waalivai mkutano wa CUF na kufanya fujo ikiwemo kuharibu vyombo vya mziki na kupasua ngoza za wale vijana wanaopiga ngoma za kiruguai wanamatarumbeta. Kisa bendela yao umezibwa na gari la matangazo.
cuf.jpg

Mkutano ulikuwa unafanyika Kinondoni Kata ya Kigogo Mtaa wa Kigoogo Kati.

Wameiba nyaya za kuunganisha kwenye spika zenye urefu wa mita zaidi ya mia mbili, Wameondoka na simu ya Mpita njia kwa walichodai kwamba alikuwa anawarekodi.

Nashukuru CUF kwa kutoreact. Wamewaachia Polisi wafanye kazi yao.

Leo ntaenda Pale Polisi kuona kama kuna hatua zimechukuliwa.

Isingekuwa Busara za viongozi wa CUF, sasa tungekuwa tunaongea mengine.

Nashauri jeshi la Polisi wawe wanawahi sehemu za mikutano mapema. Jana walikuja lakini kwa kuchelewa.
 
Heshima kwenu wakuu,

Nimeshangaa kuona Visasi vya CCM na CUF vikiendelea Kinondoni baina ya CCM na CUF. CCM jana waalivai mkutano wa CUF na kufanya fujo ikiwemo kuharibu vyombo vya mziki na kupasua ngoza za wale vijana wanaopiga ngoma za kiruguai wanamatarumbeta. Kisa bendela yao umezibwa na gari la matangazo.
View attachment 694362
Mkutano ulikuwa unafanyika Kinondoni Kata ya Kigogo Mtaa wa Kigoogo Kati.

Wameiba nyaya za kuunganisha kwenye spika zenye urefu wa mita zaidi ya mia mbili, Wameondoka na simu ya Mpita njia kwa walichodai kwamba alikuwa anawarekodi.

Nashukuru CUF kwa kutoreact. Wamewaachia Polisi wafanye kazi yao.

Leo ntaenda Pale Polisi kuona kama kuna hatua zimechukuliwa.

Isingekuwa Busara za viongozi wa CUF, sasa tungekuwa tunaongea mengine.

Nashauri jeshi la Polisi wawe wanawahi sehemu za mikutano mapema. Jana walikuja lakini kwa kuchelewa.
Nina wasiwasi na taarifa hii.. tukio la jana linaletwa leo na hatujaliona kwenye vyombo vya habari makini
 
Heshima kwenu wakuu,

Nimeshangaa kuona Visasi vya CCM na CUF vikiendelea Kinondoni baina ya CCM na CUF. CCM jana waalivai mkutano wa CUF na kufanya fujo ikiwemo kuharibu vyombo vya mziki na kupasua ngoza za wale vijana wanaopiga ngoma za kiruguai wanamatarumbeta. Kisa bendela yao umezibwa na gari la matangazo.
View attachment 694362
Mkutano ulikuwa unafanyika Kinondoni Kata ya Kigogo Mtaa wa Kigoogo Kati.

Wameiba nyaya za kuunganisha kwenye spika zenye urefu wa mita zaidi ya mia mbili, Wameondoka na simu ya Mpita njia kwa walichodai kwamba alikuwa anawarekodi.

Nashukuru CUF kwa kutoreact. Wamewaachia Polisi wafanye kazi yao.

Leo ntaenda Pale Polisi kuona kama kuna hatua zimechukuliwa.

Isingekuwa Busara za viongozi wa CUF, sasa tungekuwa tunaongea mengine.

Nashauri jeshi la Polisi wawe wanawahi sehemu za mikutano mapema. Jana walikuja lakini kwa kuchelewa.
CUF ya lipumba na ccm ni mtu na dada yake hakuna ugomvi hapo lao ni moja
 
Wangese hao, Alafi mama zao wanashindia kaniki wao wanatumika kama vijiko, Fumbafu kabida
 
Heshima kwenu wakuu,

Nimeshangaa kuona Visasi vya CCM na CUF vikiendelea Kinondoni baina ya CCM na CUF. CCM jana waalivai mkutano wa CUF na kufanya fujo ikiwemo kuharibu vyombo vya mziki na kupasua ngoza za wale vijana wanaopiga ngoma za kiruguai wanamatarumbeta. Kisa bendela yao umezibwa na gari la matangazo.
View attachment 694362
Mkutano ulikuwa unafanyika Kinondoni Kata ya Kigogo Mtaa wa Kigoogo Kati.

Wameiba nyaya za kuunganisha kwenye spika zenye urefu wa mita zaidi ya mia mbili, Wameondoka na simu ya Mpita njia kwa walichodai kwamba alikuwa anawarekodi.

Nashukuru CUF kwa kutoreact. Wamewaachia Polisi wafanye kazi yao.

Leo ntaenda Pale Polisi kuona kama kuna hatua zimechukuliwa.

Isingekuwa Busara za viongozi wa CUF, sasa tungekuwa tunaongea mengine.

Nashauri jeshi la Polisi wawe wanawahi sehemu za mikutano mapema. Jana walikuja lakini kwa kuchelewa.
Nani kawaokoa? Mngewaacha wanyooshane
 
Nadhani siasa zetu zimefika katikati sasa tunaelekea mwisho wa amani niwakumbushe nyie wapiga debe mbunge akiingia bungeni huna unacho pata wewe anakula na familia yake hata lifti hakupi kwenye gari yake huku tutabaki na chuki milele jaribuni kufikili kuepusha vita na visasi
 
Pumbu zenu, mjaa uoga kama mashoga ya Zambia!! Hao CCM wanawazidi nini? Mnashindwa kuwakata vichwa!! Siku mtakuja kuingizwa mshudede!!
 
Back
Top Bottom