Huu umekuwa mwaka mgumu sana kwa huyu mzee...mara NEC na sasa uwaziri.Kuna joke mtaani kuwa alikuwa anakata majina ya watu kuingia NEC,akajisahau akakata na la kwake!
I felt sorry for him the other day,baada ya Lowassa kujiuzulu,Kingunge alivyohojiwa alishindwa kujibu harakaharaka.
I felt sorry for him the other day,baada ya Lowassa kujiuzulu,Kingunge alivyohojiwa alishindwa kujibu harakaharaka.