Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,459
- 2,140
Asante
Labda sijaeleweka,kanisa alilobatiziwa baadae ndio hilo wakati wa Vita vya MajiMaji lilipata dhoruba toka kwa Wamatumbieeh kwahivyo alibatizwa kabla ya vita vya maji maji??
hakuna chocote kinachoonesha kama kuna muungano kama mzee unao uthibitisho au ushahidi please tuwekee tuone hapa ila kinachoonekana wazi ni ukoloni na sio chengineAnayeota ni yule anaye kanusha kitu ambacho kipo, kina exist na kujifanya hakipo ili tuu kuji please!.
Muungano upo na una exist, uwe ni uvamizi, uliingiwa kwa halali, au kwa shinikizo, it doesn't matter much, kitu muhimu ni muungano upo na una exist!.
Muungano huu ni kama ndoa, ndoa ikiishafungwa, na kuwa consummated, ndoa hiyo ni ndoa halali na wanandoa wapo wakitimiza majukumbu ya ndoa hivyo. Hata kama mwanzo bibi Harusi alibakwa, alilazimishwa, alishurutishwa, alihadaiwa, as long as amekubali kuolewa kwa kusaini hati ya ndoa, na hadi leo bado anadumu kwenye ndoa hii, ndoa hii ni halali, na uwepo wake, unahalalisha kila kilichotokea kabla kwa kanuni ya the end justify the means!, muungano upo na utadumu milele!.
P.
Concrete argument.Namnukuu
“Sina ugomvi na uwepo wa Mungu na hili siyo la kuhoji, isipokuwa ndani ya Biblia na vitabu vingine vinavyoitwa vitakatifu, yapo mambo yanayofikirisha na kujenga uwanja mpana wa kuhoji. Binadamu mkamilifu anapaswa kuhoji na kuwaza juu ya kile anachosoma, kuambiwa na hata kufanya na haya ndiyo yanatutofautisha na wanyama wengine,”
Aliamua kukaa pembeni na hayo mambo...Baada ya kuhoji aligundua nini? Apumzike panapoendana na matendo yake.
Umejuaje?? Yeye alikuwa anamjua Mungu kinamna nyingine na sio kwa mtazamo wa hizi dini.Sawa!, lkn mwisho wa siku aliamua kumrudia MUNGU.
Mzee kingunge alielezea jambo kuhusu safari ya maisha yake kifikra.
Nilipenda sana kusoma vitabu na nilisoma vingi…baadhi ya vitabu vilipigwa marufuku, lakini hata hivyo navyo nilikuwa mdadisi kutaka kuvipata na kuvisoma…
Ni katika kusoma vitabu ndipo nilipokutana na vitabu hivi vya Bw Thomas Paine: “The Age of reason”, “The rights of man” na “Common sense”…
Huyu Tom Paine alikuwa Mwana fikra huru (Freethinker).
Tom Paine aliuliza kuhusu imani za kidini, kuhusu pia tawala za kifalme na kimalkia (monarchy), pia alitetea mapinduzi ya Ufaransa, na aliunga mkono vita vya wamarekani kuwa taifa huru, kutoka utawala wa Mwingereza…
Maandishi ya huyu bwana (Thomas Paine) yalinipeleka hatua nyingine ya juu katika kuijua dunia na jamii, alisema Mkongwe Kingunge…
Yalinipaisha upeo wangu wa kuhoji mpaka ikafikia hatua ambapo kwa mambo ya imani za dini nikaanza kuwa na mtazamo tofauti..!...
Credit to : Nsajigwa Nsa'Sam PhD