katika hotuba za kigoda cha Mwalimu Nyerere, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru amesema ni aibu kwa serikali kuleta wawekezaji kwenye kilimo wakati wapo vijana watanzania walio maliza chuo kikuu wanazurura mtaani bila ajira. Hao wawekezaji wanachuma hapa wanapeleka nchini kwao.
Akasema ni kama kwenda kuleta maji mbali wakati yapo hapa hapa.
Pia amesema kuna viongozi wa chama na serikali wanamiliki ardhi kubwa wakati wapo wananchi wengi hawana ardhi.
Akasema ni kama kwenda kuleta maji mbali wakati yapo hapa hapa.
Pia amesema kuna viongozi wa chama na serikali wanamiliki ardhi kubwa wakati wapo wananchi wengi hawana ardhi.