Kazi imeanza. Zile chopa kumi zinaanza kazi ya maana nchi nzima. Kingunge atakuwa na vijana wake Lissu na Lema kushusha makombora mikoa ya Tabora na Kigoma na wilaya zake zote. Nyumba ya jirani sasa kuteketea kabisa.
Mikutani mikubwa ya hadhara ipatayo 40 kufanyika katika mikoa hiyo kwa siku 6. Baada ya hapo watashuka Dodoma na Iringa. Mbowe na Msigwa wanadondoka Lindi na Mtwara.
Tutawasafisha kutoka kigoma mpaka msoga ccm must go
Haya Yote YATAFANIKIWA Tu Endapo Zile PESA / HELA Zao CHAFU Zilizozuiliwa Nchini Kenya Na Ambazo Hadi Sasa UKAWA Wanahaha Kuzipitisha Lakini Wazee Wa KAZI Na Wa KITENGO Wa Tanzania WAMEKABA Kila Kona. Ukweli Ni Kwamba UKAWA Sasa Wako Very Bankrupt Na Hili HALIJIFICHI Kwani Wale Wafadhili Wao Wote Sasa WAMEGOMA Tena KUCHANGIA Baada Ya KUGUNDUA Kuwa Mtu Wao Lowassa HAUZIKI Tena Na Hata Akiwa Jukwaani Huwa HAZUNGUMZI Bali HUNONG'ONA Tu Kama Vile Yupo Na Mkewe Regina Bedroom. Wao Walikuwa Wanataka Hizo PESA / HELA Ziingie Ktk MZUNGUKO Ili Waanze KUWAHADAA Watu Wa MAENEO Ambayo Wanajua WANAIKUBALI CCM Sana Ili WAWAUZIE KADI Zao Zile Za KUPIGIA KURA Na WASIPIGE Huku Sehemu Nyingine Ya MSHIKO Ingeenda KURATIBU Mipango Ya KULETA FUJO Ktk Maeneo Mbalimbali PINDI Mgombea Wao Urais ASIPOSHINDA. Kwa Muda Huu Naomba Niishie Kwanza Na Haya ILA Nikizidi KUTIWA NDIMU Nitatiririka Na Mengine MSIYOYAJUA. Na Kama Kawaida Yangu Huwa SIBAHATISHI Ktk Yale Niyasemayo Kwani Huwa Na UHAKIKA Nayo 1000%. UKAWA Jipangeni Tena Labda Kwa Mwaka 2025 Na Kama Vyama Vyenu VITAKUWEPO Kwani Najua Mara Baada Tu Ya Uchaguzi Huu Kuisha Na Hatimaye Dr. Magufuli Kuwa Next President UKAWA ITAVUNJIKA, CHADEMA WATAANZA KUGOMBANA Na KUTIBUANA, CUF WATACHAPANA BAKORA WENYEWE KWA WENYEWE Kwani FUNGU Lile La Lowassa Kuna Ambao HAWAKUPEWA, Huku NCCR - Mageuzi WAKIFUKUZANA Na NLD Wakifa KIBUDU Kabisa.
CDM sasa hizi sifa ni wazi CCM imeishiwa pumzi sioni haja ya kuwamalizia kabisa kapumzi kadogo kaliko bakia.
Kazi imeanza. Zile chopa kumi zinaanza kazi ya maana nchi nzima. Kingunge atakuwa na vijana wake Lissu na Lema kushusha makombora mikoa ya Tabora na Kigoma na wilaya zake zote. Nyumba ya jirani sasa kuteketea kabisa.
Mikutani mikubwa ya hadhara ipatayo 40 kufanyika katika mikoa hiyo kwa siku 6. Baada ya hapo watashuka Dodoma na Iringa. Mbowe na Msigwa wanadondoka Lindi na Mtwara.
CCM imebebwa na Magufuli tu. Ile timu ya watu 32 wa kumsaidia kampeni wamemkimbia.
Peeepooz!!!!!!
Mbona mmechelewa aisee au ndo 'taimingi' yenyewe?