bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 324
Sijui kwa nini jamani, yani uwapo kitandani kwenye mambo yetu ukishachanganyikiwa hasa dada zetu kiingereza ni kirahisi sana kwao na wanakichapa kwel kwel, ila wawapo mashuleni na vyuoni kwenye presentations pale mbele ni kigumu sana. Kitanda kna nin kwenye kiingereza hasa kwa dada zetu?