CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Habar ya mchana wadau....
Mwenzenu mie miaka yote nilikuwa natumua Chadema kuangalizia TV station. Sasa ndo washatangaza kuwa from 31st December,2012 hatutoeza kupata station yeyote. So nataka kununua king'amuzi je ninunue kipi kati ya vifuatavyo:-
- Ting
- Startime
- Zuku na vinginevyo
NB. unaponishauri unanimbia faida na hasara zake!!!!
Mwenzenu mie miaka yote nilikuwa natumua Chadema kuangalizia TV station. Sasa ndo washatangaza kuwa from 31st December,2012 hatutoeza kupata station yeyote. So nataka kununua king'amuzi je ninunue kipi kati ya vifuatavyo:-
- Ting
- Startime
- Zuku na vinginevyo
NB. unaponishauri unanimbia faida na hasara zake!!!!