nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,771
- 5,315
Habarini wadau, Nina king'amuzi Cha Azamu toka Juzi naona kinaniandikia hivyo, nimeenda mpaka kwenye factory default bado tatizo Ni lile lile,
Kwa uchunguzi mdogo nimegundua dogo alichomeka flash kwenye port ya nyuma ili Hali king'amuzi kilikuwa kwenye matumizi,
Nimeenda kwenye system number card ya hicho king'amuzi haionekani Tena Kama zamani, badala ya yake imeandika "get info fail"
Naombeni msaada wenu,
NB nimewapigia Azamu customer service naona hatuelewani kiswahili!
Kwa uchunguzi mdogo nimegundua dogo alichomeka flash kwenye port ya nyuma ili Hali king'amuzi kilikuwa kwenye matumizi,
Nimeenda kwenye system number card ya hicho king'amuzi haionekani Tena Kama zamani, badala ya yake imeandika "get info fail"
Naombeni msaada wenu,
NB nimewapigia Azamu customer service naona hatuelewani kiswahili!