BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,033
- 3,944
Zipo kaka kuna move channel, News channel, Sports and social entertainment.apo nilitaja local tv kwa kuwa ndo ziko sensitive kwa mazingira yetu
...Ziseme Sasa! Ama mpata tena tukuombe Uzitaje?? Kwa nini waTZ tunapenda sana Longo2? Mdau ameuliza kuhusu 'other African attractive channels' we umejibu kuwa Zipo, basi! Ungefanya jambo jema sana kama ungezitaja kabisa ili kuondoa ulazima wa mdau kulazimika kukutaka Umtajie!!!!:dizzy: