PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
Ndugu wana jf na wale wa tumiaji wa kingamuzi cha continental, arusha, ni miezi 3 sasa huduma ya matangazo ya continental, hatujui hatima yetu, tumekua tukipata matangazo kwa shida sana,picha zimekua na michirizi,hata ham ya kutazama hupati,tume lalamika, kwa uongozi wa startv grop, kila siku wanatuambia wanatengeneza,sasa tunajiuliza ni matengenezo gani kwa miezi 3???? Tunaomba, tcra itusaidie, tume teseka vya kutosha, kama hawawezi waturudishie pesa zetu.
CC: TCRA
CC: TCRA
Last edited by a moderator: