Asante sana kwa maelezo ya kitaalamu.Ving'amuzi vyote vinavyotumia satelite huwa kwenye mvua na mawingu mazito vinakwama kwama. Hii husababishwa na dish kushindwa kuona satelite kutokana na kikwazo cha mawingu/mvua......
Solution ya haraka ni kutumia cha antenna maana yenyewe inafanya mawasiliano na minara tu hapa hapa chini....
In telecom fading ni moja ya kikwazo kikuu...
Sometime inatakiwa kuongeza transmitted power ili kupambana na hili. But is it possible?
Startimes wanajitahidi katika hili.Ving'amuzi vyote vinavyotumia satelite huwa kwenye mvua na mawingu mazito vinakwama kwama. Hii husababishwa na dish kushindwa kuona satelite kutokana na kikwazo cha mawingu/mvua......
Solution ya haraka ni kutumia cha antenna maana yenyewe inafanya mawasiliano na minara tu hapa hapa chini....
In telecom fading ni moja ya kikwazo kikuu...
Sometime inatakiwa kuongeza transmitted power ili kupambana na hili. But is it possible?
Star times unatumia dish au antenna?Startimes wanajitahidi katika hili.
Pia size ya dish pia huwa inachangia hili jambo.Asante sana kwa maelezo ya kitaalamu.
waje na 'satelaiti' zao toka Pluto au ?Uko sahihi suala hili lifanyiwe kazi na Azam
DishStar times unatumia dish au antenna?
Nachojua kama ni antenna no problem ila kama ni dish lazima kutatokea mkwamo...
Good, thanksPia size ya dish pia huwa inachangia hili jambo.
Mfano ukitumia dish dogo ni tofauti wanaotumia madish makubwa na LNB kubwa....
1. Diameter ya dish ni kubwa hivyo kuwa rahisi kudaka mawimbi.
2. LNB inaweza kuwa ile kubwa so inakua more powerfull.....
unapatikana wapi mkuu, lakini pia ningependa kujua ni nini hasa kimekusibu?Au kama kuna mtu ana king'amuzi cha DISH cha STARTIMES aje tubadilishane nimpe cha DISH cha AZAM but ataniongeza 60k ( NOTE: kingamuzi changu cha AZAM bado kipya hakijamaliza hata mwezi toka kinunuliwe na tayari kimeshalipiwa kwa muda wa miezi mitatu kwa chaneli zote )