King'amuzi cha Azam cha Antenna mlonunua tupeni mrejesho

Ukisha nunua kwanza kabisa mti utakao fungia antena uwe na urefu wa angalau mita 8 au zaidi ndio intensity na quality zitasoma arafu antena yake ielekee kifuru kwa wakazi wa Dar ndiko mitambo yao waliko fungia then una search unazipata channel kama 60+ pamoja na zile za HD zote zinaonesha sababu ukisha nunua kuna kifurushi kikubwa cha mwezi unapewa bure
 
Ubora wa picha jee
Ukisha nunua kwanza kabisa mti utakao fungia antena uwe na urefu wa angalau mita 8 au zaidi ndio intensity na quality zitasoma arafu antena yake ielekee kifuru kwa wakazi wa Dar ndiko mitambo yao waliko fungia then una search unazipata channel kama 60+ pamoja na zile za HD zote zinaonesha sababu ukisha nunua kuna kifurushi kikubwa cha mwezi unapewa bure
 
Kwa maelezo niliyopewa baada ya kufika mkoani kwangu, niliambiwa kinacover kilometer nadhan around 25-30 kwahyo kama utakua nje ya eneo hilo ikitasumbua, pia antena unaweka nje kama kawaida na pia kama sio mtundu wa kuset lazima fundi aje na umlipe,, kuhusu kuonyesha kinaonyesha hd kama kawaida na pia kina waya wa HDMI na kuna offer ya mwezi mmoja. Baada ya kuona hivyo nilichagua cha dish maana kina option nyingi zaidi japo na bei yake inaongezeka kdogo tofauti na cha antena.
 
Jee channel za hd zipo?


Ubora wa picha jee ukilinganisha na visimbusi vingine vya antenna?

King'amuzi cha Azam cha Antenna mlonunua tupeni mrejesho
Hapa JF wote matajiri Mkuu, Amini hakuna atakayekupa mrejesho kwamba anatumia Dekoda ya Antena. Hapa wote Stori zao ni Super Sport na Bein Sport na hata mwenye nacho akitaka kukupa mrejesho atasema nilipata taarifa toka kwa rafiki au Kijijin nk! Lkn nyuma ya pazia mmmmmmh.
 
Upo sahihi sana humu watu wote ni matajiri nashangaaga sana
Hapa JF wote matajiri Mkuu, Amini hakuna atakayekupa mrejesho kwamba anatumia Dekoda ya Antena. Hapa wote Stori zao ni Super Sport na Bein Sport na hata mwenye nacho akitaka kukupa mrejesho atasema nilipata taarifa toka kwa rafiki au Kijijin nk! Lkn nyuma ya pazia mmmmmmh.
 
Sheikh mtaani kinyonge, nyuma ya keyboard pia kinyonge? Haiwezekani
Haha mkuu unateseka ukiwa wapi

Humu ndan wote tunaishi masaki. Obey na tunamiliki ndinga Kali na pisi Kali kila mtu anakazi ya heshima wengi wetu n ma co wa kampun kubwa kubwa
Unakwama wapi mkuu Ni pm nikupatie mchongo


HAHAHA USIKASIRIKE MKUU N UTANI TU. UNA JERO HAPO NIPATE MIHOGO YA KUKAANGA MKUU
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom