nawasiisha,pm au piga 0656730810.
sababu ya kuuza:nimenunua dstv.Nipo dar
Hiki ndio kizazi cha Kitanzania.
Asipotoa bei we nenda na Tsh:99,000 ukanunua Full set,Dish na Dekoda mpyaaa kwa jina lako.
Maana anazingua watu huyu
Na pia Mtambue kwamba AZAM Dekoda zipo kwenye Teknolojia ya hali ya juu sana kuliko hata vya Dstv.
Sasa ujue ukinunua utafute Dish litaloendana na specifications zake,la sivyo itakula kwako.