Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Wakuu Kati ya tajwa hapo juu nichukue kipi?
Mwanzo nilikua star times nataka nibadilisheUnapendelea nini?
Kwa Moshi wanapatikana wapi mkuu?CANAL is the best
Bando zao zikoje?CANAL is the best
40K kwa mweziBando zao zikoje?
Vipi channel za mpira40K kwa mwezi
Kwa Azam bei ya juu ni elfu ishirini na nane kwa mwezi!Bando zao zikoje?
Ukiachana na VPL,Azam hakuna cha maana,mwonekano wa picha zake ni mbaya sijawaji ona 🤣 🤣 .Sasa hii habari ya kurudisha mapato kwa jamii inamsaidia nini mteja anayetaka ubora wa vipindi?Azam!
Huko utapata kuona mechi zote za NPL (NBC Premier League) zikiwemo za Simba na Yanga,
Utapata channel za biashara kama Bloomberg,
Channel za habari kama BBC, CNN,
Channel za movies mfano Kicks,
Channel za burudani kama WASAFI , Clouds, MTV, ETV ,
Michezo utapata kuona ligi kuu ya Ujerumani, Carabao, ndodi za akina Twaha , mieleka nk.
Uzuri wa Azam ni kuwa sehemu ya mapato yao wanairudisha kwa jamii kwa kununua haki za matangazo ya mpira kupitia luninga, nk.
JamiiForums mobile app
Wakuu Kati ya tajwa hapo juu nichukue kipi?
Vyote nunua ukae navyo viko sawa
Unapendelea nini??Mwanzo nilikua star times nataka nibadilishe