Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Hivi ndugu zangu ni kwanini uwezo wetu wa kufikilia unakuwa duni sana kiasi hichi.

Unataka kuniambia hawa wabunge na viongozi wengine wote hawaoni upungufu wa sheria hii kuwa ni mwanzo wa maovu kama haya, angalia mambo ambayo mkapa kayafanya mpaka anaona aibu kuongea na watu, lakini eti sheria inamlinda.

Nadhani sheria hii ilikuwa inastaili enzi hizo za Baba wa Taifa waliokuwa waadilifu na wazalendo kweli ambao mpaka sasa tunatamani wangekuwepo, lakini sio enzi hizi za akina mkapa kikwete, tunaoomba hata wapate matatizo yoyote na watoweke muda wowote kwa jinsi walivyotutesa na wanavyoendela kututesa watanzania,

Na ni kwanini hata wabunge wasishirikiana hata katika hili jamani, hii katiba yetu mbona mbovu namna hii jamani, watu wanaiangalia tu kwa sababu ndo inawapa ulaji tu sio

Poa, ila iko siku itafika tu na mambo yataenda kama tunavyotaka
Mpaka nafsi ikamsuta akaamua kuandika aliyofanya ndipo akafa
 
Hii ni sheria inayofaa Africa hasa TZS ambako mihimili kazinyao ni kufisidi na kujichotea raslimali za nchi na kukandamiza wengine kwa kisongizio cha kishetani eti uzalendo..



Eti mtu asiye na akili km lile liapika na naibi wake wanapewa kinga ya kutoshitakiwa.....
Laana ya ccm inaangamiza hii nchi
 
Habari wakuu!

Mimi ni raia mwema wa nchii hii ya Tanzania.

Kuna Rais mstaafu pia ni marehemu ninataka kumshitaki.

Najua katiba yetu inatoa kinga kwa Rais pindi awapo madarakani na akistaafu pia, sijui kama ile kinga anakuwa nayo hata baada ya umauti. Kama ile kinga inaisha pindi anapofariki basi nitamshitaki kwa kosa la kushindwa kuilinda katiba au kwa kosa la kushindwa kuwalinda wananchi.

Mfano: Watu wamepotea , kuuwawa na wengine kutekwa kipindi cha uongozi wake lakini hajawahi hata kulaani, kukemea au kuwawajibisha aliowapa kazi ya kuzuia vitendo hivi.

Kwa ufupi naweza kumuhusisha na vitendo hivi haramu

Nitamshitaki ili mahakama itutafsirie kama atatiwa hatiani au la!

Ok
Aisee
 
Sep 6, 2017

Mbunge Hussein Bashe ametaka Katiba ibadilishwe na kinga za Marais kuondolewa, kwani kinga ndio huwafanya kufumbia macho baadhi ya vitu.

Ndoto yangu ni kumpata Bashe siku moja na kumuuliza tena swali kuhusu huu msimamo wake. Tuendelee kupata Case studies za viongozi wa kitanzania. Leo tukimuuliza Bashe kuhusu mabadiliko ya katiba sijui atatujibu nini.
 
Kinga ya kutokushtakiwa ndo utufanya tuzidi kuwa masikini.Mwajiriwa yeyeto anapokiuka miiko na taratibu za Kazi ni lazima awajibishwe iweje sasa.Wengine wawekewe kinga
 
"yule mwamba alikuwa hafuati Sheria Sawa"

Ujasusi wa kidola haufuati sheria yeyote ile Bali ujasusi wa kitaifa!

Ujasusi wa kidola una operate above the law!unafanya chochote kile kulinda dola hata kuua,kuteka n.k

Kea hiyo hata mama anacho kikosi kazi chake kinachomsaidia kulinda dola nje ya sheria sema operation zake zinatofautiana na mwendazake!

KILA Rais anacho!

Kumbuka you hapa;-

"Japo alinyanyua mikono juu vyuma vilipenya"!

Yaani alipigwa shaba hata kama alijisalimisha !hivi maana yake alihatarisha usalama wa Dola!!

Someni Sana mjue mambo katika NCHI hii!yapo wazi humu humu jukwaani!!!
 
Alikuwa ameshaanza kuwatukana kuwa wanawashwawashwa.

Yule jamaa alikuwa haaminiki, angeweza kufanya lolote kwa mty yoyote na alitamka haya maneno mwenyewe

Kumbuka huyu ni Rais pekee aliyeanrisha mbunge auawe kwa kupigiwa risasi nje ya bunge
 
Back
Top Bottom