Kinga kwa Rais aliyeko madarakani na wastaafu ni kichocheo cha uvunjaji haki, Iangaliwe upya

Katiba inamtambua Rais Rais peke yake!Wengine wanajifurahisha tu! Hata Rais anaweza kufutiwa kinga na kushtakiwa!
 
Mwanasheria mkuu atashitakiwa instead of presd. Sababu ya kinga hii ni kumfanya Rais afanye kazi yake kwa weledi na kujiamini wakati wa utawala wake. Ova!

#nafaham mtakosoa hili, but hainishtui
 
Naomba wataalamu wa Sheria wanisaidie, ni kwa namna gani aliyekuwa Rais Magufuli anaweza kushitakiwa? Ninamaanisha hasara ya Fedha za umma iliyobainishwa na CAG ya Shirika letu la ndege?

Nasema hivi maana mara zote Marehemu alituambia kuwa tunapata faida kubwa. Alitudanganya? Maana wasishitakiwe watendaji tu kumbe mwelekezaji alikuwa mwingine.

Sheria zinasemaje maana huyu alikuwa ni taasisi na mawakili wake. Tusijenge Utamaduni kwamba mtu keshakufa basi inakuwa mwisho wa story ili iwe fundisho.

Tukumbuke muswada aliopeleka Bungeni kwa hati ya dharura ikitaka viongozi wa Kitaifa wasishitakiwe kwa makosa waliyofanya wakiwa madarakani baada ya kustaafu. Kumbe ndiyo haya. Mnisaidie maana huko Italia kaburi la Marehemu kiongozi liliwahi kuchapwa viboko kwa hasira ya umma!
#FreedomIsBack!
 
Habari wakuu!

Mimi ni raia mwema wa nchii hii ya Tanzania.

Kuna Rais mstaafu pia ni marehemu ninataka kumshitaki.

Najua katiba yetu inatoa kinga kwa Rais pindi awapo madarakani na akistaafu pia, sijui kama ile kinga anakuwa nayo hata baada ya umauti. Kama ile kinga inaisha pindi anapofariki basi nitamshitaki kwa kosa la kushindwa kuilinda katiba au kwa kosa la kushindwa kuwalinda wananchi.

Mfano: Watu wamepotea , kuuwawa na wengine kutekwa kipindi cha uongozi wake lakini hajawahi hata kulaani, kukemea au kuwawajibisha aliowapa kazi ya kuzuia vitendo hivi.

Kwa ufupi naweza kumuhusisha na vitendo hivi haramu

Nitamshitaki ili mahakama itutafsirie kama atatiwa hatiani au la!

Ok
 
Kweli Tanzania ni nchi ya kuingwa, rais mstaafu wa afrika kusini Jacob Zuma amefungwa jela kwa miezi 15 huku kwetu ukifanya makosa kama hayo ya zuma hufungwi kinga itafanya kazi. Ndio maana katiba mpya inapigwa vita na watawala.
 
Hizi Kinga ndizo zinazofanya afrika haiwezi kuendelea.
Afrika itaendelea siku viongozi wake watakapoanza kuishia jela kama mabara mengine.
 
Kweli TANZANIA ni NCHI ya KUINGWA,Rais Mstaafu wa AFRIKA KUSINI Jacob Zuma AMEFUNGWA Jela kwa MIEZI 15 huku Kwetu Ukifanya Makosa kama Hayo ya ZUMA hufungwi KINGA ITAFANYA KAZI.Ndio Maana KATIBA MPYA inapigwa VITA na WATAWALA.
Ni muda wao wakudemka,ila sisi tunaitaka katiba mpya, wakielewa wanayofursa ya kuanzia hapa, walipo , wasipoelewa tutaitumia hiyo katiba mpya kufukua makaburi, pamoja na Kinga zao.
 
Hakika Mpaka leo huwa Najiuliza Kwanini Magufuli na Viongozi Wenzake Walipeleka Muswaada Bunge wa kujiwekea kinga ili Wasishtakiwe.

Je, Wamepanga kutufanyia nini ili tusiwashtaki?

Mbona AWAMU zilizopita Hazikufanya hivyo?
 
Mauaji makubwa yangekuja kutokea maana wasingetoka madarakani kwa Amani. Na uwezekano huo bado upo, ila muovu namba moja ndio kaondoka.

Mazingira ya unyama kurejea nchi hii ni makubwa maana katiba bado inaruhusu mtu muovu kushika madaraka ndani ya nchi hii, na amri yake ndio final.,
 
Back
Top Bottom