Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
ayo ndio manenoVita sio nzuri hata kidogo...nyie leteni hizo hela SGR iende haraka tujiinue kiuchumi Na mambo mengine ya muhimu kwa matifa yote mawili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ayo ndio manenoVita sio nzuri hata kidogo...nyie leteni hizo hela SGR iende haraka tujiinue kiuchumi Na mambo mengine ya muhimu kwa matifa yote mawili
Jk akutikisika,alienda kumchapa kule kwenye misitu ya congo,mpk wale jamaa zake wakakimbilia uganda
usigune tuHmmm!
badoInabidi nikushangae? Hivi ulishafika Rwanda na ukafanikiwa kuingia kwenye taasisi moja wapo za ulinzi wa nchi hiyo?
sawa bwana, vita haina maana yeyote! tutakao umia ni sisi watu wa kawaida hao akina slim na akina jk wala hawaumii chochote ndugu wataendelea kula bata tu. Mimi nawajua sana watu wa mipakani nimekua nao ni marafiki zangu sana huwa wanasumbuliwa sana na maamuzi ya hovyo ya viongozi wetu na wao ndiyo wanaumia, mfano ni ile operation ya jk ya kuondoka wahamiaji haramu na kuwarudisha Rwanda,that was nonsense kabisa walionea watu maskini wadogo ambao hata walikuwa hawahusiki na mizozo ya jk na Kagame, mtu baba yake na mama yake anabebwa na kutupwa border ya rwanda na watoto wanabaki TZ. Mzee mmoja maskini ameishi hapa toka kabla ya uhuru leo unasema eti siyo mtanzania arudi rwanda binafsi sidhani kama ni sawa kisa eti wakubwa wamegombana na sasa wameamua kukomoana.Mimi nina rafiki yangu for so many years tumekua pamoja eti nae wakasema ni Mnyarwanda yaani mpaka unashangaa hivi waafrica tukoje lakini? Slim napenda alichofanya baada ya hapo yeye alisema hafukuzi mtz yeyote na tz ni ndugu na rwanda tena akasema wala sijambo na kuomba hiyo ni by default na ikasaidia yakaisha. JK alikua anacheka kama hakuna kitu kumbe anajambo lake na hiyo ndiyo tabia ya watu wa pwani anakumaliza huku anacheka. Mimi msimamo wangu jamani tusiombe mambo ya vita hayana faida yeyote,tushindanie maendeleo jamani! wahndi na wachina wamejaa hapa hawana hata vibali na kwao wanatubagua halafu sisi waafrica tunataka tukumuoane wenyewe mpaka leo kumbe hatujui umoja ni nguvu?fact umeongea point kwa 98% hizo mbili zilizobaki sio point kivile bt ni point
pia rwanda usalama ni mkubwa tu nilikuwepo uko mwaka juzi
wanyaru waliopo congo slim kawafungulia milango kurudi kwao ni wenyewe tu ndo hawataki
umaskin upo kweli coz nchi haina utajiri wowote that why man of the people anafinght kuitoa nchi yake ilipo
Wache waendelee kubeza, kwa kuwa hawajui lolote. Japo wanaona sawa tuu kuamka asubuhi na kushinda siku nzima wakiwa na amani & utulivu bila kujua wapo watu wanavuja jasho & kukesha kila siku ili nchi iwe kwenye hali ya utulivu & amani.Mtu aliishi kama gidigidi dadadeki. Achana na JWTZ kabisa. Hii nchi kuna vitu ukiambiwa unaweza kufikiri ni movie!
Wanaobeza uwezo wetu kijeshi hawajui wasemalo.
Nilisikia alikua anahamahama kama njiwa pori?kumbe ulikuwa ni utani mkuu
ile hit squad yenu iliyokuwa inamvizia slim kigali vip ni utani?
Fighter za JW ni J7 za kichina.. What RW do have?sio kuidharau ndege za jw ni mig-21 ambazo hazina uwezo wa kupenya ata anga la burundi wanaotumia San goa ya kizamani
kdg labda jeshi la aridhi na lenyewe sio la kuamini kivile
Muulize Sultan Makengasurprised na mig-21?
kenya wana BUK
uganda BUK
burundi San goa
rwanda wanafukuzia S-200
sasa hizo mig na chegdu zitapita wap
Mjomba unajua huyo mafunzo ya jeshi at first time kachukulia nchi gan ???? Huyo kwa tz ni bwana mdogo sana tena kijana wetu hawezi na hatakuja iletea ujinga tz maana anatufahamu vzuri sana..jamaa ni military genius huyo anajua jinsi ya kudili na tz lkn kivyovyote vile hawezekaniki
Wapi??mara ngapi sasa anajipigia askari wenu
Huijui tz ankoNchi hii kwa wakati huu; it is easily penetrated hivyo akitaka kuipiga ataiangusha kama anasukuma mlevi, kwasababu nchi sasa hivi haina umoja , wanannchi wanachukiana kiasi kwamba wengine wanaweza kuwaunga mkono maadui!!
Huijui tz anko
alihama kiasi chake tu sio kivileNilisikia alikua anahamahama kama njiwa pori?
BUK-23Fighter za JW ni J7 za kichina.. What RW do have?
kwann majeshi yenu hayakumkamata?Muulize Sultan Makenga
m23 aliwapiga kolabo nchi tatu tz,south na malawiMjomba unajua huyo mafunzo ya jeshi at first time kachukulia nchi gan ???? Huyo kwa tz ni bwana mdogo sana tena kijana wetu hawezi na hatakuja iletea ujinga tz maana anatufahamu vzuri sana..
NB: kumbuka vjana wake wa m23 tuliwafanya nn ??? Alipomzingua jk..TZ WE RUN THIS EA SHIT