baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 2,987
- 3,720
Unatamani sana kujua ndege na silaha za Tz ,Bahati mbaya au nzurikumbe jwwana air force?
wanatumia jet zip?
Tz haina utaratibu huo , Bali huwa tunamuonesha adui kwenye sherehe za Uhuru ,Muungano n.k
Tena adui akiwa amealikwa na anashuhudia ,kinachibakia ni yeye kuamua kusuka ama kunyoa
Huu utaratibu ndio aliuanza JK na kumtwanga PK katika vita na M23
Alafu akaanza kulia lia kama kafumaniwa