Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
ndio lkn ameua adui zake mpaka ndani ya south na tz pia nan mwenye jeuri hyo ukanda huuLabda south Africa ya huko kwenu
ndio lkn ameua adui zake mpaka ndani ya south na tz pia nan mwenye jeuri hyo ukanda huuLabda south Africa ya huko kwenu
jk alishindiwa nn sasaJipe moyo tu,ukiona anaichokoza Tanzania bhas ujue ashakaribia kufa,maana saa 1 asubuhi tu tutapiga nae breakfast pale kigali
Ambush!itakua huijui vita,kule congo anapiga kwa kuvizia na kukimbia,aje tuweke goma la siku 2 tu kule mwituni congo km siku ya 3 hajatukuta tuko kigalimara ngapi sasa anajipigia askari wenu
dah ila nan mwenye uthubutu wa kuvamia kambi ya jw congo ?Unazungumzia kule Kongo! Hatujawahi kupingwa na huyu kigagula.
Uwa anapiga ambush,anajipanga mwezi kwa shambulio la nusu saa,angekua anatulia basi akipiga,akipiga anakimbia kusikojulikana!Unazungumzia kule Kongo! Hatujawahi kupingwa na huyu kigagula.
Akishavamia uwa anateka kambi au baada ya ambush anakimbia,uwa anakimbia nini?km yy ni mwanaume wa vita ashatuvamia,asimame sasa aichukue campdah ila nan mwenye uthubutu wa kuvamia kambi ya jw congo ?
na kwanini avamie?
ambush nimbinu ya kivita kwanini MI walishindwa kugundua kuwa kuna ambush anategwaAmbush!itakua huijui vita,kule congo anapiga kwa kuvizia na kukimbia,aje tuweke goma la siku 2 tu kule mwituni congo km siku ya 3 hajatukuta tuko kigali
huyo jamaa ndoto yake siku moja aje apige kwetu atajuta kuthubutu
Jk diplomasia imejaa pale,amchezee sharubu huyu jamaa wa ss hv aone kitakachomkutajk alishindiwa nn sasa
kipindi askari wa jw 14 wanauwawa ambush ilitumia mda gan kwa mujibu wa CDF wa jw?Uwa anapiga ambush,anajipanga mwezi kwa shambulio la nusu saa,angekua anatulia basi akipiga,akipiga anakimbia kusikojulikana!
achukue camp mbinu ni mapigo na mwendoAkishavamia uwa anateka kambi au baada ya ambush anakimbia,uwa anakimbia nini?km yy ni mwanaume wa vita ashatuvamia,asimame sasa aichukue camp
Nchi hii kwa wakati huu; it is easily penetrated hivyo akitaka kuipiga ataiangusha kama anasukuma mlevi, kwasababu nchi sasa hivi haina umoja , wanannchi wanachukiana kiasi kwamba wengine wanaweza kuwaunga mkono maadui!!
Unajua wakati ile ambush inatokea ile camp ilikua na askari wangapi?na hadi inakuja backup ndio ikamaliza ule mchezo,na kitu kingine ni unafiki wa raia wa congo ndio waliuza mchezo wote khs ile camp,na hata hivyo mlimtambua brg gen mwakiborwa ni nani baada ya lile tukiokipindi askari wa jw 14 wanauwawa ambush ilitumia mda gan kwa mujibu wa CDF wa jw?
huyu kichwa maji au nanJk diplomasia imejaa pale,amchezee sharubu huyu jamaa wa ss hv aone kitakachomkuta
Raia ndio wanaopigana?
mwakibolwa alifanya niniUnajua wakati ile ambush inatokea ile camp ilikua na askari wangapi?na hadi inakuja backup ndio ikamaliza ule mchezo,na kitu kingine ni unafiki wa raia wa congo ndio waliuza mchezo wote khs ile camp,na hata hivyo mlimtambua brg gen mwakiborwa ni nani baada ya lile tukio
Huyo kagame raia wanaomuunga ni watutsi tu ambao wako 16% wahutu wote hawamtaki ambao wako 84%,km khs hivyo basi kagame ndio sapoti yake kwa raia ni ndogo mnoBila support ya raia wako huwezi kushinda vita mkuu; tulimpiga Amin kwasababu Nyerere alikuwa anaungwa mkono na wananchi wote!!
Huyo kagame raia wanaomuunga ni watutsi tu ambao wako 16% wahutu wote hawamtaki ambao wako 84%,km khs hivyo basi kagame ndio sapoti yake kwa raia ni ndogo mno
Safi sana kwa uzalendo wakoKipindi kile analeta chokochoko na Tz (wakati wa JK) nilipatwa na hasira naye huyu jamaa.
Nilienda kwenye page yake ya FB nikamwandikia ujumbe ambao sijui kama aliusoma. Na kama aliusoma basi huwenda ndiyo ulimfanya anyong'onyee.