Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,734
- 7,672
Wiki nyingine, namba 1 ni yuleyule
.
Tanzania Most Streamed Artist officialikiba
Tanzania Most Streamed Song #SoHot
Dodo ndio ngoma ya Bongo Flava inayosikilizwa zaidi on boomplaymusic_tz
Dodo Imeshindikana Zimepita ngoma kibao hapo kati ila Dodo ipo Imara, Mziki Mzuri na Bora unapimwa huku kwenye Kustream na ndiko wasanii wakubwa wote walikowekeza na wanakopiga pesa
Ukiona msanii anapima mziki wake kwa Views Youtube na Mavideo yake ya nusu uchi ujue mziki mbovu, si mbaya Diamond akajifunza kwa Ali kiba kutoa ngoma zinazoishi hazichuji, siyo yale mamiziki Jojo yanatafunwa na kutemwa Hapohapo
Pole Sana Babu Tale kwa kuondokewa na Mama Watoto wako..
Niitumie Furusa hii adimu kuwaomba team Wcb Mumuombee yule meneja mwenye mashavu makubwa kama jibwa la kijerumani na mwambieni aache utoto
.
Tanzania Most Streamed Artist officialikiba
Tanzania Most Streamed Song #SoHot
Dodo ndio ngoma ya Bongo Flava inayosikilizwa zaidi on boomplaymusic_tz
Dodo Imeshindikana Zimepita ngoma kibao hapo kati ila Dodo ipo Imara, Mziki Mzuri na Bora unapimwa huku kwenye Kustream na ndiko wasanii wakubwa wote walikowekeza na wanakopiga pesa
Ukiona msanii anapima mziki wake kwa Views Youtube na Mavideo yake ya nusu uchi ujue mziki mbovu, si mbaya Diamond akajifunza kwa Ali kiba kutoa ngoma zinazoishi hazichuji, siyo yale mamiziki Jojo yanatafunwa na kutemwa Hapohapo
Pole Sana Babu Tale kwa kuondokewa na Mama Watoto wako..
Niitumie Furusa hii adimu kuwaomba team Wcb Mumuombee yule meneja mwenye mashavu makubwa kama jibwa la kijerumani na mwambieni aache utoto