God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
Mleta uzi mnafiki tuukakosea huyo 1986 miaka 30 siyo 40
Mleta uzi mnafiki tuukakosea huyo 1986 miaka 30 siyo 40
Le gadem si nilisikia ameanza kuondoka kwenye 50 anelekea kwa wastaafuMiaka 40 anakimbizana na lemutuz!
Domo angekuwa na hela angekuwa anamsaidia pia baba yake mzazi.Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
Duh hizo chale sio za nchi hii aiseeBishoo na michale mgongoni wapi na wapi mwanga mkubwa mipepo hiko ndani ya mwili wake kabisa.... Bora kiba kwenye pete akichoka anaitupa
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
kavimbiwa mkuu msamehe sna ...trump.......hatariunaujua utajir wa trump au unakurupuka kusema usiyoyajua?bieber hamfikii trump kwa mkwanja.hayo maneno kaandike fb sio huku jf.