DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
...Upo bongo, ndugu? na umetembelea maktaba za vyuo mbalimbali, achilia mbali shule. Huyo ndugu alichokisema ndio hali halisi.sikubaliani na wewe kuwa tatizo ni vitabu, viitabu vipo ila wasomaji na taibia ya kujisomea ndo hakuna. tumebakia kusoma vitu rahisi tu -uwazi, kiu nk