Wapo ndani baba wasikusikie. Wenzio wananyea debeAu hakukua na Mtu kama huyo? Tulidanganywa?
Mara DPI na Wanasheria wa Serikali wamekemewa... Blah blah kibaohahhhaha nchi ya matukio.... mara faru john, mara bashite sa hizi TLS
Yapo mengiAu hakukua na Mtu kama huyo? Tulidanganywa?
inawezekana sema Mkuu alitia chumvi sana hyo amount ni kubwa kidogo, halafu hizo hela sio za mtu mmoja kuna msururu wa watu anaotakiwa awalipeMilioni 7 kila baada ya dakika moja. So, kama alikuwa anaanza kupiga say saa 2 kamili asubuhi mpaka saa 9 na nusu mchana, alikuwa anaibuka na zaidi ya Bilioni Tatu na Nusu, fedha halali za kiTanzania. Daily.
There was no such a thing. Magu, alikuwa anatafuta kick tu..