Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
Hili naliweka kiporo limenichosha jangili wa tembo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinga kwake na jamaa zake.Kurudi kwa Kinana inawezekana ni kwa ajili ya "kulinda maslahi" lakini kurudi kwa P. Mang'ula ni kitendawili kigumu zaidi...!
Kilichomrudisha ni tembo ili asifuatiliwe mambo yake.
1. Mjumbe wa CCM miaka 25
2. Kuachana Kweka na siasa hakutakuwa na madhara kwa chama chake, kwani CCM ina hazina kubwa ya viongozi ambao wana sifa na wanaweza kuongoza chama hicho kuelekea Uchanguzi wa 2015
3. "Uongozi ni kupokezana vijiti, wako wanaCCM wazuri, walio na uwezo mkubwa na sifa za kutosha kuongoza"
4. Anajivunia kufanya kazi na marais wote kuanzia mwalimu hadi JK kwa uadilifu mkubwa na kuheshimiana.
Ushauri wake kwa Viongozi wapya
1. Viongozi wapya ambao wanatarajia kuchaguliwa ndani ya chama chake, iwapo wataona upungufu wake wausahihishe
2. Viongozi wasiwaze nani anafaa kuwa mgombea urasi bali washughulikie kero za wananchi
Nini atafanya baada ya kustaafu
1. Kuona kama anaweza kufundisha
2. Kusoma katika mojawapo ya vyuo vikuu vyetu.
Sasa, imekuwa vipi tena unarudi Jukwaani na kuanza kutuhubiri ulichoamua kukiacha september 2012?
Kweli siasa tamu sana.
nicas kwanini unahangaika kubadilibadili majina hivi?kinana humuwezi mkuu
1. Mjumbe wa CCM miaka 25
2. Kuachana Kweka na siasa hakutakuwa na madhara kwa chama chake, kwani CCM ina hazina kubwa ya viongozi ambao wana sifa na wanaweza kuongoza chama hicho kuelekea Uchanguzi wa 2015
3. "Uongozi ni kupokezana vijiti, wako wanaCCM wazuri, walio na uwezo mkubwa na sifa za kutosha kuongoza"
4. Anajivunia kufanya kazi na marais wote kuanzia mwalimu hadi JK kwa uadilifu mkubwa na kuheshimiana.
Ushauri wake kwa Viongozi wapya
1. Viongozi wapya ambao wanatarajia kuchaguliwa ndani ya chama chake, iwapo wataona upungufu wake wausahihishe
2. Viongozi wasiwaze nani anafaa kuwa mgombea urasi bali washughulikie kero za wananchi
Nini atafanya baada ya kustaafu
1. Kuona kama anaweza kufundisha
2. Kusoma katika mojawapo ya vyuo vikuu vyetu.
Sasa, imekuwa vipi tena unarudi Jukwaani na kuanza kutuhubiri ulichoamua kukiacha september 2012?
Kweli siasa tamu sana.