Nicazius
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 143
- 17
1. Mjumbe wa CCM miaka 25
2. Kuachana Kweka na siasa hakutakuwa na madhara kwa chama chake, kwani CCM ina hazina kubwa ya viongozi ambao wana sifa na wanaweza kuongoza chama hicho kuelekea Uchanguzi wa 2015
3. "Uongozi ni kupokezana vijiti, wako wanaCCM wazuri, walio na uwezo mkubwa na sifa za kutosha kuongoza"
4. Anajivunia kufanya kazi na marais wote kuanzia mwalimu hadi JK kwa uadilifu mkubwa na kuheshimiana.
Ushauri wake kwa Viongozi wapya
1. Viongozi wapya ambao wanatarajia kuchaguliwa ndani ya chama chake, iwapo wataona upungufu wake wausahihishe
2. Viongozi wasiwaze nani anafaa kuwa mgombea urasi bali washughulikie kero za wananchi
Nini atafanya baada ya kustaafu
1. Kuona kama anaweza kufundisha
2. Kusoma katika mojawapo ya vyuo vikuu vyetu.
Sasa, imekuwa vipi tena unarudi Jukwaani na kuanza kutuhubiri ulichoamua kukiacha september 2012?
Kweli siasa tamu sana.
2. Kuachana Kweka na siasa hakutakuwa na madhara kwa chama chake, kwani CCM ina hazina kubwa ya viongozi ambao wana sifa na wanaweza kuongoza chama hicho kuelekea Uchanguzi wa 2015
3. "Uongozi ni kupokezana vijiti, wako wanaCCM wazuri, walio na uwezo mkubwa na sifa za kutosha kuongoza"
4. Anajivunia kufanya kazi na marais wote kuanzia mwalimu hadi JK kwa uadilifu mkubwa na kuheshimiana.
Ushauri wake kwa Viongozi wapya
1. Viongozi wapya ambao wanatarajia kuchaguliwa ndani ya chama chake, iwapo wataona upungufu wake wausahihishe
2. Viongozi wasiwaze nani anafaa kuwa mgombea urasi bali washughulikie kero za wananchi
Nini atafanya baada ya kustaafu
1. Kuona kama anaweza kufundisha
2. Kusoma katika mojawapo ya vyuo vikuu vyetu.
Sasa, imekuwa vipi tena unarudi Jukwaani na kuanza kutuhubiri ulichoamua kukiacha september 2012?
Kweli siasa tamu sana.