Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 567
Hawezi kupigania haki za watanzania bali harakati zake za chama.Ameingia kwa mkakati maalum kuelekea2025.Sisi tuendelee kupaluaTuacheni Unafiki Tanzania nzima aliyenyanyasika sana ni huyu Bhoke wako tu? Kinana apiganie Haki na Usawa kwa Watanzania wote na siyo hawa Wachache.