Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Waache tu waendelee kuliibia taifa! Kwa nini huendi kuwazuia?
Kuhusu Kalemani, kwani ulitaka akuletee wewe hiyo declaration yake? Nenda kwenye Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Ndipo tunapopata kujua hakuna NIA njema yeyote.Kama Kalemani ndiyo muandishi wa hiyo mikataba leo unamwmabia anayehoji niende tume ya maadili kufanya nini??
Ikiwa Kalemani ni mmoja wao,kwanini asiadhibiwe?Sababu ni kutoka kanda ya ziwa period.Hakuna cha nia njema wala uzalendo upuuzi mtupu