vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,803
- 2,185
Ukoo wa Kinana upo Tanganyika kabla ya ukoo wa Nyerere kuhamia Butiama.
Kupenda kubaya...leo Kinana kamzidi hata Nyerere?
Ukoo wa Kinana upo Tanganyika kabla ya ukoo wa Nyerere kuhamia Butiama.
Kuwa mzalendo hakukuzuii kula bata, uzalendo sio lazima uvae kandambili za kisanii kama anavyofanya Kinana.
Kupenda kubaya...leo Kinana kamzidi hata Nyerere?
E bwana we vipi,, maigizo haya machache unambrand ni mwenye kujali? phweeee!! ccm alikuwa nyerere na sokoine tu wenye hulka hiyoWakuu kweli kinana ni kiongozi mwenye kujali watu hapa tanzama kazi anayofanya kinana kwenye picha na hii kazi anayofanya Lisu na wenzake.View attachment 159671
Ndugu, Mlidhani kazi za Mzee Kinana ni nguvu ya soda au ya ndege wa angani kama wanavyofanya baadhi ya viongozi wa upinzani wanaorusha helikopta ikiwa na chama kwenye mafaili waliyobeba.
Wakishuka kwenye helikopta wanashuka na chama chote na wakipanda kwenye helikopta kuondoka, wanaondoka na chama chote.
Tulifahamu mtashangaa kwa sababu mlizoea siasa za mazoea ambazo hazina ajenda za kitaifa ambazo ni endelevu. Katika mshangao wenu mmeanza kutafuta mchawi kama walivyo viongozi wa vyama vya upinzani wanakimbia vivuli vyao na kuilalamikia CCM pale wanaposhindwa katika harakati zao za siasa za zimamoto.
Tunasikia kwa sasa kile kikundi kinachojiita UKAWA kimebadilisha ajenda ya mizunguko yao waliyodai ni Katiba na kwa sasa Mzee Kinana ndiyo ajenda.
Ndugu, Wewe unaamini kazi ya hirizi?. Kama huamini, kwa nini unaweka mfano wa hirizi ujenge mantiki ya hoja?.
Mimi nimeweka hotuba ninayoifahamu, kama unadhani kuna hotuba nyingine, unaweza kuweka kwa sababu Jukwaa nila kila mwanaJF
Usishangae ukisikia kinana anagombea urais 2015... Hii ziara ya kila upande wa nchi una jambo nyuma ya pazia... This is introduction kwa wananchi
Nakuona kwenye akili yako kama unaandamwa na wimbi la ukabila vile hebu jitazame kwanza vizuri,halafu usirudie tena kusema mambo ambayo huyajui wala huna uhakika nayo.
Hapo itabidi biashara ya pembe za ndovu ihalalishwe
Tunafahamu kwa sasa mko kama fisi anayesubili mkono udondoke. Kila siku mnaota ndoto za mchana.
CHADEMAs earlier vibrancy was a case of taking advantage of CCMs weaknesses and disunity to spread it wings, Mr Kinana added. We have to be honest. There was a time we spent most of our time and resources dealing with leadership problems in our party instead of reaching out to wananchi, hear their problems and find ways to solve them. Our unity was affected. We stopped addressing issues touching the peoples lives such as employment, land and availability of essential social services. We devoted our time to resolving intra-party conflicts. That is how Chadema came in.
Mr Kinana says the main secret of CCMs survival for over 50 years is that it has a genuine internal mechanism to assess itself. What has been helping us is a mechanism to assess ourselves from time to time, which we have cherished for decades, says Mr Kinana. If you dont have a genuine self assessment mechanism, you are definitely going to collapse like CHADEMA today.
Mr Kinana added: It (CHADEMA) is an event-oriented party. They are always jumping from one agenda to another or reacting to sporadic events to keep their party afloat. They have no national agenda and that picture is becoming clearer to Tanzanians today more than ever before. Today their agenda is the new constitution. Now everything is around Katiba. Their plans are not long-term, objective and sustainable. Whatever they take on is short term and sporadic. Blaming CCM and its government for the partys troubles, the CCM secretary-general said, was escapism and an attempt to hide their weaknesses in managing internal politics.
Chadema changes tack amid CCM onslaught - National - thecitizen.co.tz
Ukoo wa Kinana upo Tanganyika kabla ya ukoo wa Nyerere kuhamia Butiama.
Kwa hakika Lissu ni miongoni mwa wabunge ambao hata YESU akirudi hawezi kupita tena. Amekwamisha miradi mingi ya maendeleo na wananchi wamekuwa wakihangaika Usiku kucha!
Lissu alihamasisha kufukia visima vitano vilivyojengwa na wafadhili na kuwaambia atawajengea yeye hadi Leo na wananchi wake wakitaabika yeye akiendelea kunywa maji ya chupa ya Kilimanjaro!
Wilaya ya Ikungi ni ya mwisho kwa kila kitu Mkoa wa Singida, wapo nyuma kwa ujenzi wa zahanati na vituko vya afya, ujenzi wa vyumba vya madarasa, nyumba za walimu, maabara katika shule za sekondary, maji, umeme nk!
Anasema wananchi walale hata Uniform za watoto wao serikali itawapatia bure wanafunzi na chakula majumbani Kwao!
Tusubiri 2015....
Sikuwa najua mpaka leo katika tarifa ya habari ITV kumbe mzee wa tembo a.k.a Tusker Lager Kinana na timu yake ya CCM kwamba wako Singida eti kule kwa Tundu Lissu.It was very funny kwamba kila aliyekuwa anasimama (viongozi wote wa CCM; Kinana,Nnape na wale wa palepale Singida kama Mwenyekiti wa CCM (M) yule mwenye tumbo kubwa mpaka anashindwa kutembea sijui ni shibe ya rushwa au utapia mlo anaitwa Mgana Msindai) mdomoni ilikuwa Tundu Lissu,Tundu Lissu eti anazuia wananchi wake kushiriki shughuli za maendeleo.........very cheap propaganda!!
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, hata wale wana CCM waliopangwa katika Camera za Tv, nao wanasema eti Mbunge wao anawazuia kuchangia na kushiriki shughuli za maendeleo halafu wakati huohuo unawaona wanabeba matofali na maguo yao ya kijani "alama ya ufisadi wa CCM" na eti sasa wamefunguka na wanashiriki na kuchangia shughuli za maendeleo!!...Mimi inanishangaza na kujiuliza sana kwamba hivi huyu Tundu Lissu aliwakusanya wanyaturu wote wa jimbo lake na kuwafunga mikono na akili hata wana CCM wenyewe ili wasichangie/wasifanye shughuli za maendeleo na kwamba wamemwona Kinana na Nape mikono yao ikafunguka!???....This is very,very,very funny na kwa vyovyote vile ni unafiki na ujinga wa hali ya juu wa wana CCM uliovuka mipaka!!
Na kwa mtindo huu wa propaganda za Nnape na wenzake; kama CCM wataweza kuchukua jimbo hilo toka CHADEMA/UKAWA na toka kwa Tundu Lissu mwaka 2015, basi mimi mwaka huohuo nitakuwa mwana siasa halisi na tena mwana CCM!!
CCM wanachotaka kuwafundisha watu hapa ni kwamba wananchi wa jimbo la Lissu wanamtii mbunge wao hata katika mambo ya kipumbavu ambayo hayawasadii.Kwa maana nyingine ni kwamba CCM wasahau kulipata jimbo la Lissu kwa sababu Lissu atawaagiza wapiga kura wa jimbo lake wasiipigie CCM kura na kwakuwa maagizo ya Lissu ndiyo yanayofuatwa na wapiga kura wa jimbo la Lissu basi CCM hawataambulia hata kura moja.
CCM wanachotaka kuwafundisha watu hapa ni kwamba wananchi wa jimbo la Lissu wanamtii mbunge wao hata katika mambo ya kipumbavu ambayo hayawasadii.Kwa maana nyingine ni kwamba CCM wasahau kulipata jimbo la Lissu kwa sababu Lissu atawaagiza wapiga kura wa jimbo lake wasiipigie CCM kura na kwakuwa maagizo ya Lissu ndiyo yanayofuatwa na wapiga kura wa jimbo la Lissu basi CCM hawataambulia hata kura moja.