MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Stay Tuned...
Mwenye macho asafishe matongotongo na mwenye masikio na atege sikio.
Hizi ni baadhi ya picha za mapokezi ya Katibu Mkuu na Timu yake mjini Mtwara.
Umati wa Vijana wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati akiwasili Mtwara mjini ambapo alishiriki shughuli mbali mbali za kujenga na kuimarisha chama pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010.
Wananchi wakishangilia msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aliyewasili mkoani Mtwara
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi pikipiki kwa vikundi vya Bodaboda zilizotolewa na Mbunge wa Mtwara mjini Hasnain Murji
Mbunge wa Mtwara mjini Hasnain Murji akihutubia wakazi wa Mikindani baada ya kuwakabidhi leseni madereva 70 wa boda boda na kuwakabidhi kama mtaji wa kuendeleza vikundi vyao ikiwa ni ahadi yake kwa vikundi mbali mbali kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi 2010-2015.
Mwenye macho asafishe matongotongo na mwenye masikio na atege sikio.
Hizi ni baadhi ya picha za mapokezi ya Katibu Mkuu na Timu yake mjini Mtwara.
Umati wa Vijana wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati akiwasili Mtwara mjini ambapo alishiriki shughuli mbali mbali za kujenga na kuimarisha chama pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010.
Msafara wa Katibu Mkuu ukielekea Mtwara mjini.
Wananchi wakishangilia msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aliyewasili mkoani Mtwara
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi pikipiki kwa vikundi vya Bodaboda zilizotolewa na Mbunge wa Mtwara mjini Hasnain Murji
Mbunge wa Mtwara mjini Hasnain Murji akihutubia wakazi wa Mikindani baada ya kuwakabidhi leseni madereva 70 wa boda boda na kuwakabidhi kama mtaji wa kuendeleza vikundi vyao ikiwa ni ahadi yake kwa vikundi mbali mbali kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya Uchaguzi 2010-2015.