Hivi spika wa bunge si lazima awe mbunge? ni kama najua hivyo...au?
siku hizi kuwa spika sio lazima uwe mbunge,ndio maana Kinana,Slaa au mtu yeyote anaweza kugombea u-spika wa bunge.eep:Hivi spika wa bunge si lazima awe mbunge? ni kama najua hivyo...au?
Zipo taarifa toka kwa Watu kuwa CCM wamemshawishi Kinana achukue Form ya Kugombea U-spika. Huyu jamaa akipata, bungeni atakuwa spika yeye, waziri yeye, waziri mkuu yeye, serikali yeye, kwa jinsi anavyopenda kutetea utumbo wa serikali.
halitakuwa bunge tena,kinana anweza wapigisha kwata wapinzani.
itabidii kambi ya upinzani wampige tafu sita. Maana hata wakisimamisha mgombea wao hata pita kwa uwingi wa wabunge wa ccm.