mjombakim
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 1,193
- 1,851
Kila mtu na maono yakeTanzania hatuhitaji hekima. Tunaweza kuweka CD hotuba za Nyerere tukapata. Tunataka kazi. Acheni mambo ya mtandaoni. Maisha yako kwenye kuingia ngomani na kucheza.
Kila mtu na maono yakeTanzania hatuhitaji hekima. Tunaweza kuweka CD hotuba za Nyerere tukapata. Tunataka kazi. Acheni mambo ya mtandaoni. Maisha yako kwenye kuingia ngomani na kucheza.
Aje atuvushe maana tulikwamaKinana anafaa kabisa
Ila vijana hawatunzi kauli zao, tena walio wengi wanatumia tungo tata, muda mwingi wanatoa matamko nyuma ya mikameraKarne za wazee zimepitaaa
Naamini atatuepusha Kama alivyotuepusha kwa Lowassa na genge lake mwaka 2015.Angekuwa ana mpango wa kuwaepusha angempumzisha Jpm kweli? Nadhani jiandae kisaikolojia.
Sawa sawa.Naamini atatuepusha Kama alivyotuepusha kwa Lowasa na genge lake mwaka2015.
Bora tembo wauawe kuliko binadamu kupigwa risasi hadharani na kutekwaMimi nikisikia hilo jina nawafikria tembo wetu tu wala si jengine.
Hakuna na hatotokea fisadi kama JiweUyu alishatangaza kustaafu shughuli za chama, sioni nafasi yake, akirudi basi atakuwa ni kwa ajili ya kujijenga yeye kibinafsi, baada ya late Magufuli kuvunja mtandao wake wa kuiba jasho la watanzania.
Makamo=makamuMada inazungumzia makamo wa mwenyekiti.
Bora uue binadamu100 wanaohatarisha usalama kuokoa binadamu zaidi ya 55M.Bora tembo wauawe kuliko binadamu kupigwa risasi hadharani na kutekwa
Nani amempuzisha? Mungu? Acheni utani. Magufuli amefariki kwa sababu ya wapambe wajinga kama wewe. Werevu na waliopenda walikuwa wanatahadharisha kuhusu korona na usalama wa raia. Nyie mkawa mnamwimbia mapambio na kumsifu eti ameiweza korona. Ujinga gani huu.Angekuwa ana mpango wa kuwaepusha angempumzisha Jpm kweli? Nadhani jiandae kisaikolojia.
Kumbuka hata wewe kuna siku utakuwa MzeeKarne za wazee zimepitaaa
Pambana na hisia zako na usiache kuvaa barakoa uishi milele.Nani amempuzisha? Mungu? Acheni utani. Magufuli amefariki kwa sababu ya wapambe wajinga kama wewe. Werevu na waliopenda walikuwa wanatahadharisha kuhusu korona na usalama wa raia. Nyie mkawa mnamwimbia mapambio na kumsifu eti ameiweza korona. Ujinga gani huu.
Mr Sipangiwi is no more.Wote wanaotajwa tajwa hawatakuwa
Ndiyo ujinga huu huu mliokuwa manjibu kabla Magufuli hajafa. Kila tukitoa angalizo mlikuwa mnasema ''una ndugu kafa kwa corona''? Haya kiko wapi sasa. Tatizo ni elimu. Ukishaona mtu anasema kuchukuwa tahadhari siyo muhimu kwa sababu hakuna anayeishi milele basi ujue huyo ni mbumbumbu.Pambana na hisia zako na usiache kuvaa barakoa uishi milele.
Namkubali sana huyu mwamba na jabali la siasa ila kutokana na umri wake nafasi ya umakamu wa rais itamchosha sana hivyo apumzike. Naamini jabali hili lina uwezo wa kumshawishi Rais Mama Samia tukapata makamu wa Rais bora kabisa.Philip Mangula kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri y Muungano wa Tanzania