yote yanawezekana kuwa. Katibu anakula vumbi wakati rubani (mwenyekiti) anakiwezesha chama ughaibuni! Hiki kitakuwa kituko cha milenia ccm kupona 2015 kwa staili hii.
Sioni watakapoponea manake katibu na mwenezi wake wanapewa live bila chenga matatizo yaliyosababishwa na ccm bila woga!
Hongereni wadanganyika wenzangu kwa kuwapa ukweli. Hatuzihitaji kofia na fulana wala chumvi na vitenge tena!
Niwatakie kifo chema ccm mkakutane kuzimu na KANU!
Karibu cdm magogoni ushike hatamu ili utupatie kile tulichodhulumiwa kama maji safi, elimu bora, afya njema na maendeleo ya kweli.
amejitahidi kiasi chake, lakini kuna msimamo ambao wananchi wameshajiwekea kuhusu siasa hasa za CCM na ahadi za miaka ipatayo 50+ tangu uhuru, kuwa CCM wameshaonekana kuongoza kwa mazoea. majibu ya maswali ya mawaziri kwa wabunge, ni kielelezo tosha, mabadiliko ya uongozi ndo wanayahitaji.
Mr President lane: to Paris... Then lane: to :usa: kupitia :canada: kisha lane: to South Africa. Hapo atakaa na kuzurulaa :msela: hadi matanga yaishe na 40 juu. Kisha back to Tz.
Uhuru day 9 Dec kakosa.
Wafungwa wa Msamaa wa Rais wasahau. :faint:
Huyo anaangaika kula vumbi wakati wenzake wananing'inia angani.
Tatizo ni kwamba wana tumia pesas myingi kuwalaghai wananchi, hivyo haijulikani wana pendwa au wananchi wanafata pesa na wali nyama...kwakweli huyu jamaa ni kama anapoteza muda na wakitaka waone joto la jiwe wacheze fair play wakati wa uchaguzi ndiyo wajue wananchi wana wachukia kwa kiasi gani hiki chama cha kifisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.