Kinana: Kila mwanaccm ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa, wanaccm jitokezeni kugombea ndani ya chama

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
#NUKUU YA WIKI KUTOKA KWA MAKAMU MWENYEWE WA CCM- BARA NDUGU ABDULRAHMANI KINANA.

"WanaCCM wajitokeze kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama chetu. Kila mwanaCCM ana nafasi, haki ya kuchaguliwa na kuchagua."

Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara, Ukumbi wa Diamond Jubilee - Dar Es Salaam, 10 Aprili 2022.

#CCMApp

FB_IMG_1650532562370.jpg
 
Mimi nimekataliwa eti ni utumishi wa umma. Fomu wameninyima.

Niteteeeee kadi ninayo na niko hadi kichama ,kimwili na kiroho.


Amina
 
#NUKUU YA WIKI KUTOKA KWA MAKAMU MWENYEWE WA CCM- BARA NDUGU ABDULRAHMANI KINANA.

"WanaCCM wajitokeze kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama chetu. Kila mwanaCCM ana nafasi, haki ya kuchaguliwa na kuchagua."

Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara, Ukumbi wa Diamond Jubilee - Dar Es Salaam, 10 Aprili 2022.

#CCMApp

View attachment 2195190
 
Back
Top Bottom