Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Akihutumia wananchi ktk mkutano kule mbele.Kinana alianza kuomba msamaha na kukiri kuwa CCM walifuja hela(UFisadi) ndio maana maendeleo yapo nyuma kiasi hiki.Na km si ufisadi basi Nchi ingekuwa mbali sana.
Alikuwa akitumia lugha ya kujisafisha hadi kufikia mahali pa kukosa maneno ya kusema.Ila pia kasahau kuwa kukosa welezdi kwa CCM napo ni hasara sana kwa nchi hii.
Kwa ujumla jamaa kachelewa sana.
Alikuwa akitumia lugha ya kujisafisha hadi kufikia mahali pa kukosa maneno ya kusema.Ila pia kasahau kuwa kukosa welezdi kwa CCM napo ni hasara sana kwa nchi hii.
Kwa ujumla jamaa kachelewa sana.